JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watoto chini miaka miwili wakeketwa longido,wataka adhabu kali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Longido Serikali imeombwa kufanya maboresho ya sheria ya Ukatili wa Kijinsia ili kutoa adhabu kali kwa wanaokeketa watoto baada ya kubainika kuibuka mbinu mpya ya kukeketa watoto wa kike wakiwa chini ya miaka miwili wilayani Longido,mkoa…

Rais Dk Mwinyi apokewa kwa kishindo Pemba

*Wanachama 2,439 wa ACT wajiunga na CCM Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwinyi amezisisitiza Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi kuwahamasisha Wanachama na Wananchi kujiandikisha na kujitokeza kwa Wingi kupiga Kura ili CCM ishinde kwa Kishindo. Dkt. Mwinyi ambae…

Majaliwa: CCM ipo tayari uchaguzi 2025

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahimiza wananchi wa Itilima kujipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa 2025 huku akisisitiza umuhimu wa kuendelea kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na…

Wakulima wajipatia bilioni 347 kutoka NAFRA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakulima wa Tanzania wanaozalisha mazao ya chakula na kuyauza kwa Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA) wamelipwa bilioni 347 katika miezi minane iliyopita — kuanzia mwezi Julai 2024 hadi mwezi…

TPA yatwaa tuzo ya ‘ e-GA’ kwa matumizi bora ya Tehama

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMesia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa tatu katika kundi la taasisi za Umma zinazozingatia na kufuata miongozo na kanuni za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-Ga) katika uendeshaji na usimamizi…

Watu 18 wauawa katika kituo treni India

Takriban watu 18 wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea kwenye kituo cha reli cha New Delhi. Maelfu ya watu waliripotiwa kujaa kwenye kituo cha treni Jumamosi usiku walipokuwa wakijaribu kupanda treni zilizochelewa. Wanne kati ya waathiriwa walikuwa watoto,…