JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Trump atia saini agizo la kuiondoa Marekani WHO

RAIS wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya kuanza mchakato wa kuiondoa Marekani kuwa mwanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO). “Hili ni jambo kubwa,” rais mpya wa Marekani aliyeapishwa alisema alipokuwa akiidhinisha hati hiyo baada ya kurejea tena…

Dk Mpango atoa wito kwa majaji, mahakimu wanawake kutofumbia macho vitendo vya ukatili

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MAKAMU wa Rais Dkt. Philipo Mpango ametoa wito kwa Majaji na Mahakimu wanawake nchini kutofumbia macho vitendo vya ukatili kwani wapo wanawake, watoto na wanaume wanaopitia vitendo vya ukatili wa kijinsia au kimwili lakini hawatoi…

Mikoa sita kunufaika na msaada wa kisheria wa mama Samia

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema licha ya elimu inayotolewa kwa wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya kisheria, bado kuna changamoto za uelewa wa kisheria katika jamii ikiwemo kwenye ukatili wa kijinsia,migogoro ya ardhi, ndoa na ardhi. Waziri wa Katiba…

Polisi Pwani wamkamata aliyesambaza picha chafu za utupu akihusisha shule ya Baobab

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshilia mtuhumiwa mmoja aliyetengeneza na kusambaza picha chafu za utupu, akiziunganisha na picha mbalimbali za Shule ya Baobab iliyopo mkoani Pwani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishina Msaidizi…