Author: Jamhuri
RC Kunenge : Vipaumbele vya halmashauri na manispaa vizingatie dira ya Taifa 2050
Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia, Kibaha Alhaj Abubakar Kunenge, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, ametoa msisitizo kwa Manispaa ya Mji wa Kibaha pamoja na halmashauri mkoani humo, kuhakikisha zinazingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM),…
NMB yamwaga mamilioni maonesho ya kitaifa ya Nanenane
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma BENKI ya NMB imekabidhi Sh100 Milioni kwa Wizara ya Kilimo ili kusaidia kwenye maandalizi ya maonyesho wakulima, wafugaji na wavuvi maarufu kama nanenane. Kiasi hicho ni sehemu ya jumla ya Sh470 milioni ambazo NMB imefadhili kwa…
Jitihada za pamoja zinahitajika kupambana na udumavu – Dk Yonazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa Serikali na wadau kushirikiana kwa karibu katika mapambano dhidi ya tatizo la udumavu nchini. Akizungumza katika…
Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk Samia mkutano Mkuu wa ACTIF 2025 nchini Grenada
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Julai 27, 2025 amewasili mjini St. George’s, nchini Grenada ambapo atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la nne wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (Afri-Caribbean Trade and Investment Forum – ACTIF…