Author: Jamhuri
Watumishi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi umma
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dodoma MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Hamza Johari amewataka Watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma ili waweze kutoa huduma bora kwa Wananchi. Mwanasheria Mkuu wa Serikali amezungumza hayo wakati…
DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakazi Dawasa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha MKUU wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon amefungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA). Akifungua kikao hicho katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu…
Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo 2030 – Mramba
📌 Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi 📌 SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuelekea…
Mifumo rafiki ya upatikanaji wa nyaraka iwekwe kuwafikia wananchi kwa wakati
Na Mwandishi Wetu Idara ya Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali yatakiwa kuweka mifumo mizuri ya usambazaji wa nyaraka za wazi kwa wananchi kupitia mifumo ya kidigitali na hata kwa mifumo ya nyaraka ngumu ili wananchi wanufaike na taarifa hizo. Hayo…
Almasi, dhahabu yaipaisha Shinyanga, fursa bado zipo njooni – Mapunda
🟠Yafikia asilimia 82 ya lengo ukusanyaji maduhuli · Fursa bado zipo njooni – Mapunda Na Mwandishi Wetu, JamhuriMdia, Shinyanga MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika Mkoa wa Shinyanga yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa…
Urusi yakubali kumaliza vita Ukraine
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amesema kuwa nchi yake iko tayari kusitisha mapigano na Ukraine, lakini anasisitiza kuwa suluhisho hilo lazima lilete amani ya kudumu na kushughulikia chanzo halisi cha mgogoro huo. Putin aliyasema hayo wakati wa mkutano na waandishi…





