JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mchengerwa awafunda walimu

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa rai kwa walimu nchini kuwa wazalendo na kuzingatia weledi ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi. Mhe. Mchengerwa ametoa rai hiyo kwenye mkutano wa walimu na wadau…

EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya petroli

Na Mwandishi Wetu Bei ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwa mwezi Juni 2025, imeendelea kuleta nafuu kwa watumiaji wa vyombo vya moto, nchini, ikilinganishwa na bei za mwezi Mei 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya…

Trump kukutana na Putin na Zelensky

Rais wa Marekani Donald Trump amesema yuko tayari kukutana na marais wa Ukraine na Urusi nchini Uturuki baada ya pande hizo mbili kushindwa kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano. Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan alipendekeza kuwa Rais wa Urusi Vladimir…

Raia wa nchi 71 kuingia Tanzania bila Viza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Kwa sasa watalii kutoka mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival)…

Lee Jae-myung achaguliwa kuwa rais mpya Korea Kusini

Mgombea wa kiliberali nchini Korea Kusini, Lee Jae-myung, ameshinda uchaguzi wa urais nchini humo dhidi ya mpinzani wake wa kihafidhina Kim Moon Soo. Mgombea wa kiliberali nchini Korea Kusini,  Lee Jae – myung ameshinda uchaguzi wa urais nchini humo dhidi ya…

Raia wa China watuhumiwa kuingiza kimagendo ‘kiini hatari’ nchini Marekani

Raia wawili wa China wanatuhumiwa kuingiza nchini Marekani kuvu ambayo maafisa wanasema ni “kiini hatari cha kibaolojia”. Yunqing Jian, 33, na Zunyong Liu, 34, wameshtakiwa kwa kula njama, kusafirisha bidhaa, kutoa taarifa za uongo na ulaghai wa viza, Ofisi ya…