Author: Jamhuri
NMB yadhamini Kombe la Mapinduzi 2025
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar BENKI ya NMB, imetangaza udhamini wa Sh. Milioni 50 wa michuano ya Kombe la Mapinduzi ya Zanzibar (Mapinduzi Cup 2025), inayotarajia kuanza Januari 03, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani visiwani Pemba, ambayo itashirikisha timu za…
Waziri awashauri wananchi Jimbo la Jang’ombe kutunza miundombinu ya barabara
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria Utumishi na Utawala Bora Dk Haruon Ali Suleiman wananchi wa Jimbo la Jang’ombe kuitunza miundombinu ya barabara inayojengwa ili idumu kwa muda mrefu. “Miundombinu yetu hii tuitunze kwa maslahi ya Nchi yetu…
Mwalimu mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Paul Joseph (26), mwalimu wakujitolea katika Shule ya Msingi Nyang’omango iliyoko Kata ya Ntende Wilaya ya Misungwi mkoani hapa kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wake. Hayo yamebainishwa Desemba 30,…
CAF yatupilia mbali malalamiko ya Guinea dhidi ya Taifa Stars
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), imetupilia mbali malalamiko ya timu ya taifa ya Guinea dhidi ya Taifa Stars ya Tanzania, yaliyowasilishwa na Shirikisho la Mpira la Guinea kuhusu uhalali wa mchezaji wa Tanzania,…
Urusi, Ukraine wabadilishana wafungwa wa kivita
Urusi na Ukraine zimebadilishana mamia ya wafungwa wa kivita, imesema Wizara ya Ulinzi ya Urusi. Katika makubaliano yaliyosimamiwa na Umoja wa Falme za Kiarabu, Urusi imesema imetoa wanajeshi 150 wa Ukraine waliokuwa mateka kwa idadi sawa ya wanajeshi wa Urusi….