Author: Jamhuri
Tanzania kuwa kitovu cha kimataifa cha ubunifu wa teknolojia na bahari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ushirikiano kati ya Taasisi ya Adani Foundation na IITM Zanzibar kwa pamoja wamekubaliana katika kuboresha elimu ya juu nchini katika kuunda fursa kwa vijana, hasa wale wanaotoka katika familia zenye hali duni. Kwa…
Palmer achaguliwa mchezaji bora wa mwaka England
Na Isri Mohamed Kiungo wa Chelsea, Cole Palmer amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa kiume wa mwaka 2023/24 wa timu ya England kwa kura za wachezaji. Kiungo wa Real Madrid, Jude Bellingham amekamata nafasi ya pili huku Bukayo Saka wa Arsenal…
Injinia Hersi aalikwa mkutano wa ECA Ugiriki
Na Isri Mohamed RAIS wa klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said ni miongoni kati ya wageni waalikwa kwenye Mkutano mkubwa wa vilabu Barani Ulaya (ECA). Hersi ambaye pia ni Mwenyekiti wa vilabu Barani Afrika, atahudhuria mkutano huo unaofanyika katika mji…
Wanaodaiwa kumuua mkulima Arusha wakamatwa
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanikiwa kuwakamata watu wawili kwa tuhuma za mauaji ya Israel Paulo (36) Mkulima na Mkazi wa Leguruki, Wilaya ya Arumeru na Mkoa wa Arusha aliyefariki dunia tarehe 5 mwezi…
Masauni awahimiza Kondoa kujiandikisha daftari la mpigakura
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kondoa WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amewahimiza wananchi wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kujiandikisha kwa wingi katika daftari la mpigakura ili kuchagua viongozi watakaowaletea maendeleo. Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara…
Watu 339 wafariki dunia kufuatia mvua kubwa Niger
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini Niger zimesababisha vifo vya watu 339 na kuwaacha zaidi ya watu milioni 1.1 bila makaazi rasmi tangu mwezi Juni. Waziri wa mambo ya ndani mwezi uliopita alifahamisha kuwa takriban watu 273 walipoteza maisha na wengine 700,000…