JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yaendelea kupaa utalii tiba

Na Mwandishi Wetu MADAKTARI bingwa 20 kutoka hospitali kubwa nchini wamesafiri kwenda nchini Comoro kwaajili ya kuweka kambi ya wiki moja ya uchunguzi na utoaji huduma za kibingwa za magonjwa mbalimbali ikiwemo upasuaji wa moyo, saratani na ubongo. Madaktari hao…

Mfahamu Dk Faustine Ndungulile shujaa wa afya Afrika

Na Isri Mohamed, Jamhuri Media Ni simanzi na huzuni zimetawala kwa wakazi wa Kigamboni, wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali na Taifa zima kwa ujumla kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Kigamboni, Dkt Faustine Ndugulile kilichotokea usiku…

Israel yakata rufaa dhidi ya waranti wa kukamatwa kwa Netanyahu na ICC

Israel iliitaarifu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Jumatano hii, Novemba 27, kuhusu nia yake ya kukata rufaa dhidi ya hati za kukamatwa zinazomlenga Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na Waziri wake wa zamani wa Ulinzi Yoav Gallant kwa uhalifu wa…