JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

JKCI yaendelea kuwa kivutio utalii tiba Afrika

Madaktari wake waitwa Zambia kufanya upasuaji wa moyo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya afya umeendelea kuipaisha Tanzania ambapo sasa madakati bingwa wanne wa Taasisi ya Moyo ya…

Samia afungua jengo la Halmashauri ya Mbinga Vijijini, awapongeza viongozi kwa usimamizi

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga Rais  wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk.Samia Suluhu  Hassan  ameridhishwa na ujenzi wa Jengo la kisasa la ghorofa moja la Halmashauri ya wilaya ya  Mbinga  ambalo limejengwa kwa shilingi bilioni 3.3 hadi kukamilika kwake….

Dk Biteko azitaa wizara, taasisi na wakala serikalini kutenga bajeti ya kutosha SHIMIWI

 Asema sio wakati wa kutoa visingizio  Wasiotuma washiriki watakiwa kujieleza  SHIMIWI yalia na kushuka idadi ya vilabu vinavyoshiriki Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Wizara, Taasisi, Mashirika, wakala  za Serikali zimetakiwa kutenga Bajeti ya kutosha kwa ajili…

REA kusambaza umeme vitongoji 135 mkoani Pwani, Kunenge amshukuru Rais Samia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umeanza usambazaji wa umeme katika vitongoji awamu ya pili (HEP II) ambapo utapeleka umeme kwenye vitongoji 135 kwenye majimbo tisa, mkoani Pwani kwa gharama ya sh.bilioni 14.983.7. Mradi huu utafikia…

Bilioni 15 kusambaza umeme vitongojini Pwani

📌VITONGOJI 135 NDANI YA MAJIMBO 9 KUNUFAIKA 📌RC PWANI AMSHUKURU RAIS SAMIA Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwanni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Shilingi…