Author: Jamhuri
Serikali yatoa milioni 400 kusambaza mitungi ya gesi kwa ruzuku Dodoma
📌Mitungi 19,530 kuuzwa kwa bei ya ruzuku kwa lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeingia mkataba na mtoa huduma kampuni ya Lake Gas Ltd ambaye…
Wilaya 108 zafikiwa huduma za mawasiliano
Na Mwandishi Wetu, Kibaha WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema jumla ya wilaya 108 nchini zimefikiwa na ujenzi wa miundombinu ya Mkongo wa Taifa hatua ambayo imesaidia kurahisisha mawasiliano ya data hususani maeneo ya vijijini. Naibu Waziri wa…
Trump aendelea kutishia kudhibiti Greenland na rasi ya Panama
Rais mteule Donald Trump ameendelea kutoa vitisho vya kudai kumiliki Greenland na rasi ya Panama, akisema maeneo haya ni muhimu kwa usalama wa taifa la Marekani. Alisisitiza kuwa Marekani inayahitaji kwa usalama wa kiuchumi na kijeshi, akisema Greenland ni muhimu…





