JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi awavisha nishani askari JWTZ Tanga

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali Majenerali, Maafisa na Askari wa…

Tanzania yapendekeza miradi ya mazingira

TANZANIA imekabidhi mapendekezo ya maandiko ya mradi 3, kwa ajili ya kuombea fedha kutoka katika Mfuko wa Hasara na Upotevu unaosababishwa na Athari za Mabadiliko ya Tabianchi. Hayo yamejiri wakati Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Christina…

Anne Makinda kuwatunuku wahitimu 264 HKMU

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAHITIMU 264 wa Chuo Kikuu cha Hubert Kairuki (HKMU) wanatarajiwa kutunukiwa shahada zao wakiwemo 115 wa binadamu wakati wa mahafali ya 22 siku ya Jumamosi. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar…

REA yaupamba mkutano wa kikanda wa Nishati Bora 2024

📌Matumizi bora ya nishati ya kupikia kupewa kipaumbele 📌Elimu ya utunzaji wa miundombinu ya umeme yatolewa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unashiriki katika Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati 2024 unaofanyika jijini Arusha ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa…

Serikali za mitaa hivi, uchaguzi mkuu je?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Novemba 27, 2024 Tanzania ilifanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimepata ushindi asilimia 99 na zaidi. Nimejaribu kufuatilia nini kimetokea? Nimebaki na maswali mengi. Yapo maeneo unatajiwa unaona harufu…