Author: Jamhuri
Mwanafunzi wa miaka 14 awaua wenzake kwa bunduki Marekani
Watu wanne wameuawa baada ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 kufyatua risasi katika shule ya sekondari huko Gerogia nchini Marekani.Waliouawa wametambulika kuwa ni wanafunzi wawili na walimu wawili. Watu wanne wameuawa baada ya mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14…
Kiongozi wa upinzani Uganda ‘Bobi Wine’ kufanyiwa upasuaji
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi Ssentamu maarufu Bobi Wine amepangwa kufanyiwa upasuaji baada ya kudaiwa kupigwa risasi na askari Polisi. Taarifa zinasema Bobi Wine atafanyiwa upasuaji baadaa ya kujeruhiwa mguu katika tukio la vurugu lilitokea mjini Kampala. Wakili…
Spika wa Bunge Ukraine ajiuzulu
Spika wa Bunge la Ukraine Ruslan Stefanchuk, amesema Waziri wa Mambo ya Nje Dmytro Kuleba amewasilisha barua yake ya kujiuzulu . Ukraine imekumbwa na wimbi la kujiuzulu mawaziri katika serikali ya rais Volodymr Zelensky. Mawaziri wengine ambao pia wamejiuzulu ni…
Makalla : CCM hatubebwi tumejipanga
Chama Cha Mapinduzi (CCM)kimesema kitaendelea kushinda chaguzi zake kwa haki na sio kwa kubebwa. Akizungumza katika mkutano maalum na viongozi wa CCM mkoani Arusha, Katibu wa Halmashauri Kuu CCM Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla amesema kuwa…
RC Chalamila apokea majina ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Septemba 04,2024 amepokea taarifa ya kamati aliyoiunda kupitia orodha ya majina ya wafanyabiashara wa soko la Kariakoo katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo Mnazi…
Serikali kuendelea kutenga fedha za kukarabati barabara korofi nchini
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Zainab Katimba amesema Serikali itaendelea kutenga fedha ya ukarabati wa barabara korofi nchini zilizoathiriwa na Mvua za El – Nino ili kurahisisha huduma bora kwa Wananchi. Katimba amesema…