JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Aliyekuwa mhasibu KMC FC afikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa

Aliyekuwa Mhasibu wa Klabu ya Mpira wa Miguu ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni (KMC FC), Bw. Atulinda Barongo, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni, Kinondoni, Dar es Salaam, akikabiliwa na tuhuma za uhujumu uchumi. Bw. Barongo anashtakiwa kwa…

17 mbaroni kwa ulawiti na mauaji Mtwara

WATU 17 wametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara kwa tuhuma za kujihusisha na makosa mbalimbali mkoani humo. Akizungumza leo mkoani Mtwara, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara Issa Suleiman – SACP amesema watuhumiwa hao wamekamatwa…

Somalia Ethiopia kumaliza mivutano ya kikanda

Serikali ya Marekani imepongeza hatua ya makubaliano yaliyofikiwa na Somalia na Ethiopia ya kumaliza mivutano ya kikanda, iliyochochewa na shinikizo la Ethiopia la ufikiaji salama wa baharini. Katika taarifa maalum iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony…

DC Iringa aona mwanga Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Iringa MKUU wa wilaya ya Iringa, Herry James, amesema kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia itasaidia kuondoa migogoro iliyopo ya uelewa mdogo wa haki za binadamu, mila na desturi kandamizi, vitendo vya ukatili wa…

TMA: Kuna uwepo wa Kimbunga ‘CHIDO’ Bahari ya Hindi Kaskazini mwa Madagascar 

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga ‘CHIDO’ katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa Kisiwa cha Madagascar. Taarifa iliyotolewa jana na Mamlaka hiyo,imesema mifumo ya hali ya…

Mamilioni ya pesa yawapeleka Japan Misenyi mkoani Kagera

Na Egbart Rwegasira, JamhuriMedia, Kagera Ubalozi wa Japan nchini Tanzania kupitia naibu mkuu wa ujumbe wa Japan nchini Tanzania Bw. Shoich Ueda mapema Desemba 11, 2024 uliwasili Wilaya Misseny mkoani Kagera kwa lengo la kuzindua na kukabidhi bweni kubwa la…