JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yaipongeza Green Acres kwa kuendelea kufanya vizuri kitaaluma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeipongeza shule ya msingi na sekondari, Green Acres ya jijini Dar es Salaam kwa namna ambavyo imekuwa ikifanya vizuri katika matokeo ya mitihani ya kitaifa kuanzia ngazi ya Wilaya hadi taifa. Pongezi…

Samia atoa miezi mitatu mradi wa maji Mchangombole Madaba kukamiika Songea

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia, Songea Rais wa Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan metoa miezi mitatu kwa wakala wa Maji Vijiji (RUWASA) kukamilisha mradi wa maji wa Mchangombole uliopo Halmashauri ya Madaba wilayani Songea Mkoa wa Ruvuma na amewataka…

JKCI kutanua huduma za matibabu ya moyo nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kupeleka huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo katika maeneo mbalimbali nchini kwa kufungua kliniki za matibabu kuwapunguzia wagonjwa adha ya kufuata huduma hizo Dar…

Rais Dkt. Samia atoa miezi mitatu Mradi wa Maji Mtyangimbole uanze kufanya kazi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa miezi mitatu kwa Waziri wa Maji, Jumaa Aweso na watendaji wake kuhakikisha mradi wa maji wa Mtyangimbole unaanza kufanya kazi. Rais…

Watano kizimbani wakijifanya wakala wa kampuni za simu na kuibia watu Dar

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu watano wamepandishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na mashtaka 23 likiwemo la kuongoza genge la uhalifu na wizi wa fedha kiasi cha Sh 3,600,000. Washtakiwa katika kesi hiyo ni Wangina…

Mashambulizi Israel yaua watu 490

 Israel imezidisha vita vyake dhidi ya wanamgambo wa Hezbollah nchini Lebanon Septemba  23, huku vita hiyo ikiua takriban watu 490 na kujeruhi wengine zaidi ya 1,650 katika mashambulizi makubwa ya anga ambayo yamezua wasiwasi wa kutokea vita vikali. Jeshi la…