Author: Jamhuri
Kili MediAir yaja na utalii wa anga
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI ya Kili MediAir imesema kuwa pamoja na kutoa huduma ya Uokozi kwa watalii pia inafanya utalii wa anga. Hayo yameelezwa leo Oktoba 12, 2024 na Daktari wa Uokozi kutoka Kampuni hiyo, Jimmy…
Kitandula: Tanzania ni sehemu salama ya kuwekeza
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imewahakikishia wawekezaji kuwa Tanzania ni sehemu salama hivyo waje kuwekeza. Wito huo umetolewa leo Oktoba 12, 2024 na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula wakati akifungua Mkutano wa jukwaa la…
Rais Samia atua Mwanza kwa kishindo
Ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza imeanza siku ya leo na kwa umuhimu mkubwa katika kuimarisha maendeleo ya mkoa huo inatarajiwa kutoa fursa kwa wananchi kuwasilisha changamoto wanazokabiliana nazo moja…
Waziri wa afya aipongeza Shifaa kwa kuanzisha kituo cha tiba na utafiti wa saratani
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amezindua Kituo cha Tiba na Utafiti wa Saratani cha Shifaa na kuahidi kuwa serikali itaendelea kuongeza bajeti ya dawa za saratani kila mwaka kutokana na ongezeko kubwa la wagonjwa wa saratani. Waziri…
Barnaba, Joh Makini wanogesha Jogging ya uhamasishaji kujiandikisha Pwani
Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha “Mjitokeze kwa wingi kwenye zoezi la uandikishaji wa wapiga kura, Natarajia kuona watu sita ndani ya kila saa ili tufikie malengo yetu ya uandikishaji kwa mkoa,” amesema Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge. Ili…





