JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mashambulizi Israel yaua watu 490

 Israel imezidisha vita vyake dhidi ya wanamgambo wa Hezbollah nchini Lebanon Septemba  23, huku vita hiyo ikiua takriban watu 490 na kujeruhi wengine zaidi ya 1,650 katika mashambulizi makubwa ya anga ambayo yamezua wasiwasi wa kutokea vita vikali. Jeshi la…

Mwangesi: Hauwezi kuwa mwangalizi wa maadili ya watu wengine kama wewe huna maadili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Rai imetolewa kwa Watumishi wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na weledi wa hali ya juu wanapotekeleza majukumu yao. Rai hiyo imetolewa na Kamshina wa…

Tunazikaribisha Ngangari, Ngunguri na Nginjangija?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Septemba 22, 2024 ni miaka 29 tangu baba yangu mzazi afariki dunia (wakati unasoma makala hii Jumanne Septemba 24, 2024 ni miaka 29 na siku 15). Baba yangu alifariki Septemba 12, 1995 akiwa…

Tumeridhia matapeli wa kiroho waliangamize taifa

Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwapo ongezeko la mitume na manabii wa uongo barani Afrika, hususan Tanzania, wanaohubiri mafanikio ya haraka kupitia miujiza, utajiri wa ghafla na baraka za kiroho zinazotokana na vitu…

Tuunge mkono kwa vitendo mkakati wa taifa wa nishati safi ya kupikia -Katimba

📌 Asisitiza Watanzania kuwa sehemu ya Mkakati 📌 Aeleza athari za matumizi ya Nishati isiyo safi 📌 Atoa hofu ya Gesi kulipuka Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mhe. Zainabu Katimba ametoa rai kwa wananchi kuunga mkono kwa vitendo Mkakati…