Author: Jamhuri
TTB yazindua Onesho la Nane la S!TE 2024
Na Tatu Mohamed,JamhuriMedia, Dar es Salaam BODI ya utalii Tanzania (TTB) imezindua rasmi Onesho la nane la Swahili International Tourism Expo _S!TE (S!TE 2024) ambalo linatarajia kufanyika Octoba 11 hadi 13 Jijini Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa habari…
RITA: Zaidi ya asilimia 99.75 ya vyeti vimehakikiwa
Na wandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KABIDHI Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini nchini (RITA), Frank Kanyusi amewataka wananchi na waombaji wote wa mikopo ya elimu ya juu kutosubiri dirisha la mikopo…
Sakata la Yusuph Kagoma lafika pabaya
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam UONGOZI wa klabu ya Yanga umetoa maombi matatu kwa kamati ya TFF ya maadili na hadhi ya wachezaji kufuatia sakata la mchezaji wao Yusuph Kagoma ambaye anaendelea kucheza klabu ya Simba kinyume na…
CHADEMA kuandamana Septemba 23
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Freeeman Mbowe amewataka viongozi wa CHADEMA wa mikoa yote nchini kujipanga kuja Dar es Salaam kwa ajili ya kushiriki maandamano yanayotarajia kufanya Septemba 23,…
Serikali yavuna Trilioni 1.8 kupitia sekta ya uziduaji nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imepata jumla ya shilingi Trilion 1.877 kutoka kwenye kampuni 44 zilizolinganishwa katika sekta ya madini, mafuta na gesi ikiwa na tofauti ya kati ya malipo na mapato ya shilingi milioni 402.41 kwa…
DC Nyasa : Usimamizi mbovu umechangia Halmashauri Nyasa kushindwa kufikia malengo
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nyasa MKUU wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Peres Magiri amesema kuwa ,usimamizi mbovu wa vyanzo vya mapato kutoka kwa baadhi ya wataalam na watendaji wa vijiji na kata umesababisha Halmashauri hiyo kushindwa kufikia malengo ya…





