Author: Jamhuri
Ubelgiji yaunga mono agenda ya nishati safi – Dk Biteko
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Ubelgiji imesema inaunga mkono kampeni ya Nishati Safi ya kupikia na hivyo imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania katika matumizi ya nishati hiyo kwa maendeleo ya Bara zima la Afrika iliyoasisiwa…
Wapiga kura wapya 491,050 kuandikishwa Mara, Simiyu na Manyara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara UBORESHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Mara, Simiyu na baadhi ya halmashauri za Mkoa wa Manyara utafanyika kwa siku saba kuanzia kesho tarehe 04 hadi 10 Septemba, 2024 ambapo jumla ya wapiga…
Azam FC wamtimua kocha Dabo na wasaidizi wake
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KLABU ya Azam FC leo Septemba 03, imetangaza kuwafungashia virago Kocha wao Mkuu, Youssouph Dabo na wasaidizi wake wa benchi la ufundi aliokuja nao kufuatia matokeo mabaya ya timu. Azam FC chini ya…
Israel Mwenda : Kwa kifupi sina timu
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ALIYEKUWA beki wa Simba msimu uliopita, Israel Patrick Mwenda, ambaye msimu huu amesajiliwa na klabu ya Singida Black Stars ameibuka na kudai kuwa kwa sasa hana timu licha ya kudaiwa kupokea ada ya…
Uingereza yasitisha baadhi ya mauzo ya silaha kwa Israel
Uingereza imesitisha baadhi ya mauzo ya silaha kwa Israel, ikisema kuna “hatari ya wazi” vifaa hivyo vinaweza kutumika kufanya ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa. Waziri wa Mambo ya Nje David Lammy alisema Uingereza itasimamisha leseni 30 kati ya 350…
DRC: Watu 129 wameuawa katika jaribio la kutoroka gerezani
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesema kuwa takribani watu 129 waliuawa walipokuwa wakijaribu kutoroka katika gereza kuu la Makala katika mji mkuu Kinshasa siku ya Jumapili jioni, na kuongeza kuwa hali sasa imedhibitiwa, Shirika la habari la Reuters…





