JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watanzania tusionje sumu, asante JWTZ

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita zilijitokeza picha mbili za mjongeo katika mtandao. Picha hizi, mtu mmoja amejitambulisha kama Kapteni Tesha, mwingine analalamika, ila zaidi ya kuonekana ameshika bunduki na amevaa sare za jeshi, hajitambulishi. Wote hawa…

NMB yadhamini Wiki ya Vijana Kitaifa, sherehe za kuzima mwenge, yakabidhi milioni 30/-

Na Mwandishi Wetu, JamhurMedia, Mbeya BENKI ya NMB, imeikabidhi ofisi ya Mkoa wa Mbeya hundi ya Sh. Milioni 30 kwa ajili ya udhamini wa maadhimisho ya wiki ya vijana kitaifa na sherehe za kitaifa za kuzima Mwenge wa Uhuru zitakazofanyika…

Nishati yawasilisha mipango ya kimkakati kutekeleza Dira ya Taifa 2050

📌 Ni katika kikao kazi na Tume ya Taifa ya Mipango. 📌Mradi wa usafirishaji umeme Chalinze–Dodoma ni miongoni mwa miradi ya kipaumbele kufanikisha Dira 2050, 📌Wizara ya Nishati na Tume ya Mipango kushirikiana kwa karibu kusimamia miradi ya Nishati kufanikisha…

Maaskofu wa Katoliki DRC wapinga hukumu ya kifo dhidi ya Joseph Kabila

Baraza la Maaskofu wa Kitaifa wa Congo (CENCO) limelaani hukumu ya kifo iliyotolewa kwa Rais wa zamani Joseph Kabila na Mahakama Kuu ya Kijeshi ya Kinshasa. Wakielezea imani hiyo kuwa haipatani na maadili ya Injili, maaskofu wanadai kwamba mantiki ya…

UNHCR yapunguza ajira 5,000 duniani kote kutokana na ukata

KUTOKANA na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa ahadi za ufadhili, Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (UNHCR) limepunguza takriban wafanyakazi 5,000 duniani kote mwaka huu Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwashughulikia Wakimbizi, Filippo Grandi alisema mjini…

Sekta ya madini yachangia ujenzi wa uwanja wa mpira Chunya

*Ujenzi wafikia asilimia 85 *Una viwango vya kutumiwa na Timu zote ikiwemo Simba, Yanga, Azam na nyingine Chunya Katika mwendelezo wa kuchangia ukuaji wa sekta nyingine kwa maendeleo ya Taifa na Jamii, shughuli za madini katika Mkoa wa Kimadini Chunya…