Author: Jamhuri
Kitila Mkumbo, Angellah Kairuki warudisha fomu kwa mtindo huu
……………………………………… Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, amerudisha rasmi fomu ya uteuzi kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), hatua muhimu kuelekea kuteuliwa rasmi kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu….
Watoto wawili wauawa kwa risasi kanisani Marekani
Shirika la upelelezi la Marekani FBI limeanzisha uchunguzi dhidi ya kisa cha mtu aliyekuwa na bunduki kuua watoto wawili kanisani kwa kuwapiga risasi. Kisa hicho kimetokea jana Jumatano katika kanisa la Kikatoliki huko Minneapolis ikiwa ni wiki ya kwanza ya…
Boniface Mwangi atangaza kuwania urais Kenya mwaka 2027
Boniface Mwangi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania urais wa Kenya mwaka 2027, akielezea azma ya kuleta “mwanzo ppya” kwa taifa hilo. Mwangi alionekana kuwa sauti ya vijana dhidi ya Mswada wa Fedha wa mwaka 2024. Mkosoaji mkuu wa serikali…
Mashambulizi makubwa ya Urusi yaua 10 Ukraine
Ukraine imesema Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya droni usiku wa kuamkia leo dhidi ya Ukraine na kuua watu 10. Wengine 38 wamejeruhiwa, majengo kadhaa yakiwemo makaazi ya watu pia yameharibiwa ikiwemo katika mji mkuu Kiev. Maafisa wa Ukraine wamesema hayo…
Rwanda na Msumbiji zatia saini makubaliano ya usalama
Wakati wa ziara rasmi ya Rais Daniel Chapo mjini Kigali, mataifa hayo mawili yamefikia makubaliano ya amani na usalama ambayo yanatazamiwa kuimarisha ushirikiano wao katika kukabiliana na changamoto za kiusalama. Rwanda na Msumbiji zimetia saini makubaliano ya “amani na usalama”…
Marekani yamfuta kazi Mkurugenzi wa Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa
Ikulu ya Marekani imemfuta kazi Mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC), Dkt. Susan Monarez, baada ya kukataa kujiuzulu siku ya Jumatano. Kupitia taarifa rasmi, Ikulu ilieleza kuwa Dkt. Monarez “hailingani na ajenda ya rais,” na kwa sababu…