JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Featured

Jokate Mwegelo: Kutoka Miss Tanzania, Muigizaji, DC hadi Katibu Mkuu UWT

Na Isri Mohamed Jamhuri Media Dar es Salaam. Oktoba 01, Chama Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana katika kikao chake maalumu  jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wake na Rais Samia Suluhu Hassan imemteua…

Wananchi wajiandaa kuvamia eneo TFS

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Wananchi zaidi ya 2,000 wa Kijiji cha Nyeburu, Kata ya Chanika, wanajiandaa kuvamia upya eneo lililomegwa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) ili kuendeleza shughuli zao za kila siku, kwa madai serikali imeshindwa kutatua mgogoro…

UPUUZI HUU NI WA BASATA AU LATRA?

Na Joe Beda Rupia Jamhuri Media Hii ni aibu. Aibu kubwa kweli kweli! Kwa hakika ni ujinga unaoachwa kuendelea bila kukemewa. Matokeo yake tunabaki kujificha kwa kufumba macho. Hivi, unaweza kujificha kwa kufumba macho? Nao huu ni ujinga mwingine. Lakini…