Category: Featured
Serikali inavyohamasisha jamii kutumia fursa ya taka kusafisha mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mujibu wa takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, uzalishaji wa taka ngumu nchini ni takriban tani milioni 14.4 hadi 20.7 kwa mwaka ikiwa ni sawa na kilogramu 0.66…
Maboresho mfumo kodi na maendeleo tuyatakayo
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Juhudi za kujiletea maendeleo zinategemea sana ufanisi wa ukusanyaji kodi kutoka kwa wananchi. Wizara, taasisi na vitengo mbalimbali wanaweza wakakaa chini kupanga, kujadili na kuja na mipango mingi mizuri ya maendeleo lakini itakapofika kipengele cha…
SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI; Huduma bora za TMA zaing’arisha Tanzania kimataifa
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taarifa sahihi na za wakati za hali ya hewa ni nyenzo muhimu katika kufanya maamuzi ya kimkakati na kufanikisha maendeleo endelevu ya nchi yetu. Kwa kutambua umuhimu huo mkubwa katika sekta mbalimbali kama…
Wizara Maji na matumizi ya teknolojia katika utatuzi wa changamoto
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Wiki ya Maji Kitaifa nchini Tanzania na Siku ya Maji Duniani imemalizika Machi 22, 2026. Imekuwa ni wiki nzuri kwani mijadala mbalimbali yenye tija kuhusiana na sekta ya maji imefanyika kwa mafanikio makubwa. Kutokana…
WIKI YA MAJI, Rais Samia alivyoitoa Wizara ya Maji kutoka kuwa kero na lawama hadi faraja
Na: Dk. Reubeni Lumbagala Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, kufulia, kupigia mswaki, kunyweshea mifugo, kumwagilia maua au bustani. Mambo yanayohitaji maji ni…
Waziri Nanauka kurunzi jipya kwa vijana
Na Byarugaba Innocent, OR-MV Tanzania nchi yangu, nakupenda kwa moyo wangu wote. Ni nchi yenye utajiri mwingi kuanzia amani iliyopo. Aidha, rasilimali watu, ardhi yenye rutuba, madini, mbuga za Wanyama, vyanzo vya kudumu vya maji ikiwemo bahari, maziwa, mito na…





