Category: Featured
Bandari ya Mtwara yawania kuteka soko kubwa zaidi ndani ya SADC
Na Florid Mapunda, Mtwara Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) iliundwa kwa malengo ya kuboresha ushirikiano kati ya nchi huru wanachama, kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi hizo na kukuza biashara baina yao ili uhuru uwe na maana kwa…
RC Mtanda: Boti za uokozi ni nguzo muhimu ya kuokoa maisha Ziwa Victoria
Ajali za majini zimeendelea kuwa miongoni mwa changamoto zinazohatarisha maisha ya maelfu ya wananchi wanaotegemea Ziwa Victoria kwa shughuli za kila siku. Wavuvi, wafanyabiashara, wanafunzi na wasafiri hukatiza mawimbi ya ziwa hilo kila siku, wakiamini watafika salama wanakoelekea. Hata hivyo,…
TANROADS Pwani yabadili ramani ya uchumi kupitia mtandao wa barabara za kimkakati
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani una nafasi ya kipekee na ya kimkakati nchini Tanzania, ukiwa lango kuu la kibiashara linalounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini pamoja na nchi jirani. Kabla ya Uhuru wa…
Songea inavyopambana na taka; safari ya kujenga mji safi, salama na wa kisasa
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma UBORA wa mji hupimwa kwa majengo yake yaliopangwa vizuri, barabara zake au idadi ya watu wake. Lakini mji wa Songea unaonekana kupimwa kwa jambo jingine lisilopewa uzito na wengi jinsi inavyoshughulikia taka zake. Kila chupa…
From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa
By Ellen Azaria Maduhu, JamhuiMedia, Dodoma Every year on June 24, the world marks the International Day of Women in Diplomacy, a day established by the United Nations in 2022 to recognize the contribution of women in diplomacy, peacebuilding, conflict…
Jinsi Samia anavyoibadilisha Pwani kuwa kitovu kipya cha uchumi Tanzania
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Miaka iliyopita, Mkoa wa Pwani ulionekana zaidi kama eneo linalozunguka Jiji la Dar es Salaam, lakini leo unaanza kujijenga upya kama kitovu cha uwekezaji, viwanda, biashara na usafirishaji nchini kutokana na utekelezaji wa miradi mikubwa…





