JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Featured

Serikali ichukue hatua hizi kukabiliana na mvua za El Nino

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu msimu wa mvua za Vuli 2026, ambao unatarajiwa kuathiriwa kwa kiwango kikubwa na hali ya El NiƱo. Kwa mujibu wa TMA, mvua za…

Mvua za Vuli 2026, tahadhari leo, usalama wa kesho

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mvua inaponyesha, wengine huona neema; wengine huona hatari. Kwa mkulima, tone la kwanza linaweza kuwa mwanzo wa msimu wa matumaini. Kwa mfugaji, linaweza kumaanisha malisho na maji tele. Kwa mji, mvua hiyo hiyo…

Bandari ya Mtwara yawania kuteka soko kubwa zaidi ndani ya SADC

Na Florid Mapunda, Mtwara Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) iliundwa kwa malengo ya kuboresha ushirikiano kati ya nchi huru wanachama, kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi hizo na kukuza biashara baina yao ili uhuru uwe na maana kwa…

RC Mtanda: Boti za uokozi ni nguzo muhimu ya kuokoa maisha Ziwa Victoria

Ajali za majini zimeendelea kuwa miongoni mwa changamoto zinazohatarisha maisha ya maelfu ya wananchi wanaotegemea Ziwa Victoria kwa shughuli za kila siku. Wavuvi, wafanyabiashara, wanafunzi na wasafiri hukatiza mawimbi ya ziwa hilo kila siku, wakiamini watafika salama wanakoelekea. Hata hivyo,…

TANROADS Pwani yabadili ramani ya uchumi kupitia mtandao wa barabara za kimkakati

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani una nafasi ya kipekee na ya kimkakati nchini Tanzania, ukiwa lango kuu la kibiashara linalounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini pamoja na nchi jirani. Kabla ya Uhuru wa…

Songea inavyopambana na taka; safari ya kujenga mji safi, salama na wa kisasa

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma UBORA wa mji hupimwa kwa majengo yake yaliopangwa vizuri, barabara zake au idadi ya watu wake. Lakini mji wa Songea unaonekana kupimwa kwa jambo jingine lisilopewa uzito na wengi jinsi inavyoshughulikia taka zake. Kila chupa…