Category: Gazeti Letu
Mavunde : Mkutano wa wakandarasi umeitangaza Tanzania kwenye sekta ya madini yaliyo chini ya bahari
Na Richard Mrusha, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema mkutano wa wakandarasi uliofanyika jijini Dar es Salaam umekuwa na tija kubwa na wakihistoria na ni jambo ambalo halijatokea nchi nyingine yeyote Afrika bali Tanzania hivyo, hiyo…
Mtaturu atoa faraja Mang’onyi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida MBUNGE wa Singida Mashariki miraji Mtaturu ameshiriki mahafali ya Shule ya Sekondari ya Mang’onyi Shanta na kugawa vifaa vya TEHAMA ikiwemo Printa na Kompyuta vyenye thamani ya Sh Milioni 13 ikiwa ni jitihada zake za…
Mloganzila yaanzisha huduma ya kurekebisha muonekano wa mwili
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) kuanzia tarehe 27.10.2023. Mkuu wa Idara ya Upasuaji Dkt. Eric Muhumba amesema upasuaji huo…