JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Watu 100 wamekufa nchini India kutokana na joto kali

KARIBU watu 100 wamekufa nchini India katika siku za karibuni kutokana na joto kali lililolikumba taifa hilo. Watu hao wamekufa katika majimbo mawili yenye idadi kubwa zaidi ya watu ya Uttah Pradesh lililoko magharibi mwa nchini hiyo na Bihar, lililopo…

Wadau EITI wajadili fursa mbalimbali za madini

SHARE  *Dakar, Senegal*  Mkutano wa Kimataifa wa Asasi ya Kimataifa ya Uwazi na Uwajibikaji _*(EITI – Extractive Industry Transparency Initiative)*_ uliofanyika Jijini Dakar nchini Senegal kuanzia tarehe 13 -14 Juni 2023 umejadili fursa mbalimbali kwenye Sekta ya Madini ikiwemo namna…

Watu 79 wafariki katika ajali ya boti Ugiriki

Takriban watu 79 wamefariki na wengine zaidi ya 100 kuokolewa baada ya meli yao ya uvuvi kuzama katika pwani ya kusini mwa Ugiriki. Walionusurika na maafisa wa Ugiriki wanasema kuwa mamia zaidi ya wahamiaji walikuwa ndani ya boti hiyo. Serikali…

Watu 15 wafamilia moja wafariki kwa kunywa uji Namibia

Watu 15 wa familia moja wamefariki nchini Namibia baada ya kunywa uji ambao maafisa wanaamini ulikuwa na sumu. Hili ni miongoni mwa matukio mabaya zaidi nchini humo ya maafa yanayotokana na chakula kibovu. Vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa…