JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

WAGOMBEA WENZA: Ni uteuzi wa kimkakati

MOMBASA Na Dukule Injeni Hatimaye wagombea urais, hususan wa muungano wa Azimio la Umoja One, Kenya Alliance na Kenya Kwanza wameteua wagombea wenza siku chache tu kabla ya Mei 16, mwaka huu, iliyotengwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka…

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KENYA Ruto apangakufanya aliyoyakataa BBI

MOMBASA Na Dukule Injeni  Masilahi ndicho kitu kinachowaleta wanasiasa pamoja na ndivyo ilivyo hususan kipindi hiki ambapo vyama vinaungana kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Kenya unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, mwaka huu.  Licha ya uwepo wa wagombea huru zaidi ya 40 wanaowania…

MANUSURA MAUAJI YA KIMBARI: ‘Nimeshamsamehe aliyemuua mume wangu’

KIGALI, RWANDA Unapaswa kuwa na upendo ili upone; ndivyo anavyoamini mwanamke huyu ambaye si tu kwamba amekwisha kumsamehe mtu aliyemuua mumewe miaka 28 iliyopita, lakini pia amekubali kijana wake kumuoa binti wa aliyekuwa ‘mbaya wake’! Mwanamke huyu, Bernadette Mukakabera, amekuwa…

Urusi haiepukiki

*Mataifa yanayochimba mafuta yapuuza maagizo ya Marekani RIYADH Saud Arabia Leo ni siku ya 40 tangu Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alipotangaza na kuanzisha kile anachokiita ‘Operesheni ya Kijeshi’ nchini Ukraine; huku jumuiya ya kimataifa ikikitafsiri kama ni uvamizi wa…

Ubaguzi, unafiki vita ya Urusi Vs Ukraine

Na Nizar K Visram Limekuwa jambo la kawaida kwa vyombo vya habari na serikali zao za Magharibi kuilaani Urusi, wakisema ni uhalifu wa sheria ya kimataifa kwa nchi moja kuivamia nchi nyingine.  Lakini sheria hiyo hutiwa kapuni pale nchi za…

Urusi yageuka tishio kwa mataifa mengine 

Moscow, Russia Na Mwandishi wetu Vita ya maneno inazidi kupamba moto baina ya mataifa tajiri duniani yakigombea mipaka ya taifa la Ukraine. Hali hiyo imezuka baada ya Urusi kuzidisha vikosi vyake vya kijeshi kwenye mipaka ya taifa hilo, jambo ambalo limewaibua…