JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mikataba ya mafuta yavunja rekodi robo ya nne 2020

Licha ya Corona kuendelea kuitikisa dunia lakini mikataba inayohusiana na shughuli za mafuta na gesi ziliongezeka katika robo ya nne ya mwaka jana katika eneo la Afrika na Mashariki ya Kati, ripoti inaonyesha. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na GlobalData inaonyesha…

Mabilionea na hatima ya urais Marekani

Mabilionea wakubwa kumi nchini Marekani wana utajiri wa pamoja unaofikia dola nusu trilioni na athari za utajiri huo tayari zimekwisha kuanza kuonekana katika uchaguzi wa nchi hiyo. Matajiri hao wamejihusisha kwa namna moja au nyingine na uchaguzi huo, huku mmoja…

Shirika la Ndege Afrika Kusini hali mbaya

Hali ya kifedha ya Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) imezidi kudorora na kulilazimisha shirika hilo kusitisha safari za ndani isipokuwa kwenda na kutoka Johannesburg na Cape Town. Hilo limetangazwa wiki iliyopita na timu maalumu ya wataalamu wa biashara…

Moto wazidi kusambaa Australia

Kuongezeka kwa joto kunazidi kuleta hali ya tishio kutokana na moto mkubwa unaowaka katika maeneo mengi nchini Australia. Watabiri wa hali ya hewa wameonya kuwa ongezeko hilo la joto litaongeza ukame katika maeneo mengi, hivyo kutoa mwanya kwa moto kusambaa…

Marekani yaibana Iran, zakaribia kuanza vita

Maandamano ya vurugu yaliyotokea wiki iliyopita katika Ubalozi wa Marekani jijini Baghdad ni tukio la hivi karibuni ambalo zinazisogeza Marekani na Iran kwenye vita kamili, wachunguzi wa mambo wanaeleza. Maandamano hayo ni mwendelezo wa vurugu zilizoanza baada ya kuondolewa madarakani…

Netanyahu aomba huruma ya Bunge

Waziri Mkuu wa Israel anayekabiliwa na mashitaka mahakamani, Benjamin Nentanyahu, ameliomba Bunge kumpa kinga ya kutoshitakiwa katika kesi tatu za rushwa zinazomkabili. Hii ni hatua ambayo haijawahi kuchukuliwa na kiongozi yeyote wa Israel na wanaharakati wameipinga wakisema inazuia usawa mbele…