JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mkurugenzi Safaricom ajiuzulu

Aliyewahi kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mwanzilishi na baadaye Mkurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya Mawasiliano ya Safaricom PLC, Michael Joseph amejiuzulu wadhifa wake, taarifa ya Safaricom imesema uamuzi huo umefanyika Agosti 1. Joseph, ameshiriki kuongoza kampuni hiyo katika nafasi mbalimbali…

Mafuriko yaua 33 Beijing

Watu waliofariki kutokana na mafuriko katika mji mkuu wa China, Beijing imeongezeka na kufikia 33 wakiwemo waokoaji watano huku watu wengine 18 wakiwa hawajulikani walipo. Mafuriko hayo yalianza Agosti 5, 2023 Magharibi mwa Beijing na kusababisha kuporomoka ya nyumba 59,000…

Iran yatoa likizo ya siku mbili kutokana na joto kali

Iran imetangaza likizo ya siku mbili kwa wafanyakazi wa Serikali na benki kutokana na hali ya joto inayoongezeka kote nchini humo. Uamuzi huo umewadia wakati nchi duniani kote, ikiwa ni pamoja na Iran, zinakabiliwa na ongezeko la joto la kihistoria…

Uingereza kuibeba bendera ya Tanzania kutangaza fursa za uwekezaji, biashara zilizopo sekta ya madini

Wizara ya Madini na Serikali ya Uingereza kupitia Ubalozi wake nchini zimekutana leo Agosti 1, 2023 katika ofisi za Wizara Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma ili kujadiliana kuhusu fursa mbalimbali za uwekezaji katika Sekta ya Madini nchini na kuzitangaza…

Moto wa Mediterania waua zaidi ya watu 40

Zaidi ya watu 40 wamefariki dunia nchini Algeria, Italia na Ugiriki wakati moto wa nyika ukitishia vijiji na maeneo ya mapumziko huku maelfu ya watu wamehamishwa. Ugiriki inajiandaa kwa safari zaidi za uokoaji kutoka Rhodes, wakati moto pia ukiendelea kuwaka…

Madaktari Nigeria waanza mgomo usio na kikomo

Madatari katika hospitali za umma nchini Nigeria wameanza “mgomo na usio na kikomo” kutokana na kile walichokieleza kuwa ni kushindwa kwa serikali kushughulikia malalamishi yao. Madaktari wanaogoma ni asilimia kubwa zaidi ya madaktari katika hospitali za Nigeria. Mgomo wa namna…