Category: Kimataifa
Walioambukizwa COVID-19 Afrika wakaribia milioni 5
ADDIS ABABA, ETHIOPIA Imethibitishwa kuwa watu 4,867,727 walikuwa wameambukizwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa corona (COVID-19) barani Afrika hadi kufikia katikati ya wiki iliyopita. Taasisi ya kukabiliana na magonjwa barani Afrika iliyo chini ya Umoja wa Afrika (AU), Africa CDC, imesema…
Mfereji wa Suez kupanuliwa
CAIRO, MISRI Mipango imeanza kuupanua Mfereji wa Suez nchini Misri kama njia ya kuhakikisha usalama na ufanisi wa usafirishaji, hasa kwa njia ya meli. Machi mwaka huu biashara duniani iliingia kwenye mtanziko mkubwa baada ya meli moja kubwa ya mizigo…
Biden awasilisha bajeti inayojali watu wa kati
WASHINGTON, MAREKANI Ikulu ya Marekani imependekeza bajeti ya dola trilioni 6 kwa ajili ya mwaka wa fedha 2022. Wakati mapendekezo hayo ya bajeti yakitolewa, Rais Joe Biden amejiandaa kutoa maelezo ya mipango yake ya kifedha katika kipindi cha kati. Atatoa…
Ujerumani kuilipa Namibia fidia
WINDHOEK, NAMIBIA Zaidi ya miaka 100 baada ya serikali yake ya kikoloni kufanya matendo ya kikatili kwa wakazi wa Namibia, Ujerumani imetambua makosa hayo kama mauaji ya kimbari. Ukatili huo ulifanywa dhidi ya watu wa jamii za Herero na Nama,…
Kinyang’anyiro cha Pembe ya Afrika
DJIBOUTI CITY, DJIBOUTI Wakati dunia ikiwa inahangaika kupambana na janga la Corona, kuna mambo yanaendelea kimyakimya ambayo yanaweza kubadilisha mahusiano na muonekano wa nchi zilizo katika Pembe ya Afrika na hata Afrika Mashariki. Kinachoendelea katika eneo hilo hakina tofauti sana…
Mikataba ya mafuta yavunja rekodi robo ya nne 2020
Licha ya Corona kuendelea kuitikisa dunia lakini mikataba inayohusiana na shughuli za mafuta na gesi ziliongezeka katika robo ya nne ya mwaka jana katika eneo la Afrika na Mashariki ya Kati, ripoti inaonyesha. Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na GlobalData inaonyesha…