JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mashambulizi ya Israel yawaua zaidi ya Wapalestina 50

SHIRIKA la habari la Palestina WAFA limeripoti zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na Israel tangu Jumamosi Alfajiri wengi wao wanawake na watoto. Watu 27 kati ya hao wameuawa katika jiji la Gaza. Jeshi la Israel kwa upande…

Trump :UN imeshindwa kuleta amani duniani

Rais wa Marekani Donald ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika kuleta amani ulimwenguni. Rais wa Marekani Donald Trump ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika…

HRW: Afrika iwakatae wahamiaji wa Marekani

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, limesema mpango wa Marekani kuwapeleka wahamiaji katika nchi za Afrika unakiuka sheria ya haki ya kimataifa, na lazima ukataliwe. Katika siku za hivi karibuni, Eswatini, Ghana, Rwanda na Sudan Kusini…

Iran yakataa mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani

Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amekataa mazungumzo ya ana kwa ana na Marekani kuujadili mpango wa nyuklia wa Iran. Hatua hiyo huenda ikaondoa matumaini ya mwisho ya kuzuia kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran. Matamshi…

Trump alaani hatua za kulitambua taifa la Palestina

RAIS wa Marekani Donald Trump amelaani hatua zilizochukuliwa na mataifa ya Magharibi kulitambua taifa huru la Palestina, huku Marekani ikionekana kutengwa katika uungaji mkono wake mkubwa kwa mshirika wake Israel. Akihutubia Jumanne katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa…

Spika wa DRC Vital Kamerhe ajiuzulu

Vital Kamerhe, Spika wa Baraza la Chini la Bunge katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amewasilisha jana waraka wa kujiuzulu Jumanne baada ya kukabiliwa na shinikizo kutoka kwa ombi linaloungwa mkono na zaidi ya wengi katika bunge la taifa. Wakati…