Category: Kimataifa
Urusi yatoa sharti moja la usitishaji wa mapigano Ukraine
Waziri wa masuala ya kigeni nchini Urusi Sergey Lavrov amesema kuwa Urusi iko tayari kusitisha mapigano bila masharti, lakini “tunataka hakikisho kwamba usitishaji mapigano hautatumika tena kuimarisha jeshi la Ukraine na kwamba usambazaji wa silaha lazima ukome.” Akizungumza na mwandishi…
SIPRI: Matumizi ya kijeshi yaongezeka duniani
Ripoti mpya iliyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa masuala ya Amani (SIPRI) imesema matumizi ya kijeshi duniani kote yameongezeka mwaka jana huku migogoro inayoongezeka ikichochea ongezeko la matumizi hayo. Ripoti hiyo ya taasisi ya SIPRI yenye makao yake…
Trump ‘anafikiri’ Zelensky yuko tayari kuikabidhi Crimea kwa Urusi
Rais wa Marekani Donald Trump amesema anafikiri kuwa mwenzake wa Ukraine Volodymyr Zelensky yuko tayari kuliacha eneo la Crimea kwa Urusi kama sehemu ya makubaliano ya amani – licha ya hapo awali Kyiv kukataa pendekezo lolote kama hilo. Alipoulizwa iwapo…
Trump awatolea wito Putin na Zelensky kufikia makubaliano
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwa sasa rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine anaonekana kuwa mtulivu na mwenye nia ya kutaka kufikia makubaliano ya amani. Aidha Trump ameusifu mkutano wao siku ya Jumamosi mjini Vatican, huku akimtaka pia rais wa…
Israel yashambulia mji mkuu wa Lebanon, Beirut
Israel ilifanya mashambulizi ya angani katika vitongoji vya kusini mwa Beirut siku ya Jumapili, baada ya kuamuru kuhamishwa kwa wakazi waliokuwa wakiishi katika jengo ambalo ilisema lilikuwa linatumiwa na kundi linaloungwa mkono na Iran la Hezbollah. Shambulio hilo lilitokea licha…
Viongozi wa ulimwengu, maelfu wamuaga Papa Francis
Viongozi wa ulimwengu, makasisi na umati wa watu mapema hii leo walikusanyika kwenye Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini Vatican kwa ajili ya mazishi ya Kiongozi wa Kanisa Katoli ulimwenguni Papa Francis. Kadinali wa Italia Giovanni Battista Re aliongoza Ibada ya…