JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Putin: Tunashinda vita vya haki nchini Ukraine

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema siku ya Jumatatu kuwa vikosi vya Urusi vinapata ushindi katika kile alichokiita “vita vya haki” nchini Ukraine. Putin alisema hayo kwenye video iliyochapishwa katika tovuti ya Ikulu ya Kremlin na kuongeza kuwa wapiganaji na…

Rais wa Madagascar aivunja serikali yake

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake jana Jumatatu baada ya siku kadhaa za machafuko makubwa ambayo Umoja wa Mataifa umesema yalisababisha vifo vya watu 22. Rais Rajoelina alisema alipolihutubia taifa kwa njia ya televisheni kwamba ameamua kusitisha shughuli…

Ukraine haionyeshi nia ya kurejea kwenye mazungumzo na Urusi

Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amesema Kyiv haijawahi kuonyesha nia ya kurejea kwenye mazungumzo kati ya Urusi na wajumbe wa taifa hilo. Peskov alisema hayo katika mahojiano na Shirika la habari la serikali la Urusi RIA yaliyochapishwa siku…

Netanyahu kukutana na Trump huku ukosoaji ukimuelemea

Rais wa U.S Donald Trump anatarajiwa kukamilisha pendekezo la mpango wa amani wa Gaza anapokutana Jumatatu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, huku Israel ikizidi kuishambulia Gaza City. Tawi hilo la kijeshi la Hamas kupitia Brigedi zake za Al-Qassam…

Mashambulizi ya Israel yawaua zaidi ya Wapalestina 50

SHIRIKA la habari la Palestina WAFA limeripoti zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na Israel tangu Jumamosi Alfajiri wengi wao wanawake na watoto. Watu 27 kati ya hao wameuawa katika jiji la Gaza. Jeshi la Israel kwa upande…

Trump :UN imeshindwa kuleta amani duniani

Rais wa Marekani Donald ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika kuleta amani ulimwenguni. Rais wa Marekani Donald Trump ameukosoa Umoja wa Mataifa akisema umejaa maneno matupu na kwamba taasisi hiyo haisaidii katika…