Category: Kimataifa
Iran yatoa neno kuhusu pendekezo la usitishwaji mapigano
Iran imejibu pendekezo la usitishwaji mapigano na kufunguliwa Mlango Bahari wa Hormuz na kuelezea msimamo na matakwa yake na kusisitiza kuwa mazungumzo “hayaendani na masharti wala vitisho vya kutenda uhalifu wa kivita. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa…
Athari za vita Iran zaongeza bei ya petroli duniani
Tangu vita vilipoanza, bei ya pipa moja la mafuta ghafi imepanda kutoka dola 73 hadi takribani dola 117 kwa sasa. Kwa kawaida, kupanda kwa bei ya jumla ya nishati huonekana kwanza kwenye vituo vya mafuta, na hali hii inaonekana kote…
Iran: Uaminifu ni muhimu kumaliza mzozo na Marekani, Israel
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amezipongeza juhudi za Pakistan za usuluhishi kati ya nchi yake, Marekani na Israel. Licha ya pongezi hizo, amesema uaminifu unahitajika ili kuutatua mzozo huo. Ameyasema hayo katika mazungumzo yaliyofanyika kwa njia ya simu Jumamosi na…
Papa Leo atoa wito kwa watu wa Monaco kutenda mema
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amewataka wakaazi wa taifa tajiri la Monaco kutumia utajiri wao, ushawishi na imani yao ya Kikatoliki kutenda yaliyo mema. Ameyasema hayo akiwa katika ziara ya siku moja nchini humo. Akizungumza baada…
Wanajeshi wa Marekani wajeruhiwa Saudi Arabia
Wanajeshi 12 wa Marekani wamejeruhiwa kufuatia shambulio lililolenga kambi ya anga ya Prince Sultan nchini Saudi Arabia, huku vita kati ya Iran na Marekani na Israel ikiingia mwezi wa pili. Idadi hiyo imeongezeka kutoka 10 iliyoripotiwa awali, kwa mujibu wa…
Israel yapanga kuendeleza mashambulizi yake Iran
Waziri wa ulinzi wa Israel, Israel Katz ametangaza mipango ya kutanua mashambulizi yake Iran, huku kukiwa na uwezekano kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na Tehran. Kulingana na Ofisi yake, Katz amesema hatua iliyochukuliwa inatokana na makomborayanayoendelea kurushwa Israel kutoka Iran….





