JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

William Ruto: Taifa limempoteza mzalendo na mwanamageuzi wa kweli

Rais William Ruto aliongoza taifa kuomboleza, akimtaja Odinga kuwa “mzalendo wa taifa ambaye ujasiri na kujitolea kwake viliunda njia ya Kenya kuelekea demokrasia na umoja. ” Viongozi kutoka barani Afrika akiwemo Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Nana Akufo-Addo wa…

Mapokezi ya mwili Odinga, Polisi wazidiwa nguvu uwanja wa ndege wa JKIA

Wafuasi wa Raila Odinga wamevamia lango kuu la uwanja wa ndege wa JKIA baada ya kuwazidi nguvu polisi waliokuwa wakilinda eneo hilo. Hali ya taharuki imetanda, huku kukiwa na wasiwasi mkubwa juu ya kitakachotokea endapo watapenya na kuingia ndani ya…

‘Nizikwe ndani ya saa 72’: Wosia wa Raila Odinga

Mwili wa Raila Amollo Odinga unatarajiwa kuwasili saa tatu na nusu asubuhi ya leo kutoka India, ambako alikuwa anapata matibabu kabla ya kupatwa na mauti. Familia yake imefichua kwamba ndani ya wosia wake, aliandika kuwa azikwe ndani ya saa 72….

Raila Odinga afariki, atakumbukwa kwa kupigania uhuru wa kidemokrasia

Aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Raila Odinga amefariki akiwa na umri wa miaka 80. Raila amefariki wakati akifanyiwa matibabu katika hospitali moja nchini India kulingana na duru za familia. Magazeti ya India Mathrubhumi na The Hindu yaliripoti habari hiyo kwa…

Marekani, China zatupiana ada mpya za bandari

MVUTANO wa kibiashara kati ya Marekani na China umechukua sura mpya baada ya mataifa hayo mawili kuanza kutozana ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji baharini. Marekani na China zimeanza rasmi kutoza ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji majini…

Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi

Jesh la Madagascar limechukua madaraka baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia. Hatua hiyo inafuatia wiki kadhaa za maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana waliopinga umaskini, rushwa na ukosefu wa huduma za msingi. Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya…