JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Zelensky: Mashambulizi kwenye vituo vya nishati yasitishwe

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi kupitia kwa Marekani mpango wa kusitisha mashambulizi ya pande zote yanayolenga vituo vya nishati. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi mpango wa kusitisha mashambulizi…

Somalia yajiandaa uchimbaji mafuta wa kwanza wa kihistoria baharini

Somalia inasema iko tayari kuanza shughuli zake za kwanza za kuchimba mafuta baharini, huku meli ya kuchimba mafuta inayomilikiwa na serikali ya Uturuki ikitarajiwa kuwasili pwani yake Ijumaa. Hatua hiyo inafuatia kukamilika kwa mafanikio kwa tafiti za matetemeko ya ardhi…

Ulaya: Sio halali kulenga miundombinu ya raia vitani

Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Ulaya Antonio Costa, amesema shambulio lolote dhidi ya miundombinu ya kiraia kama ile ya nishati sio halali na haikubaliki hata kidogo. Hii ni baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutoa muda wa…

Iran yatoa neno kuhusu pendekezo la usitishwaji mapigano

Iran imejibu pendekezo la usitishwaji mapigano na kufunguliwa Mlango Bahari wa Hormuz na kuelezea msimamo na matakwa yake na kusisitiza kuwa mazungumzo “hayaendani na masharti wala vitisho vya kutenda uhalifu wa kivita. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa…

Athari za vita Iran zaongeza bei ya petroli duniani

Tangu vita vilipoanza, bei ya pipa moja la mafuta ghafi imepanda kutoka dola 73 hadi takribani dola 117 kwa sasa. Kwa kawaida, kupanda kwa bei ya jumla ya nishati huonekana kwanza kwenye vituo vya mafuta, na hali hii inaonekana kote…

Iran: Uaminifu ni muhimu kumaliza mzozo na Marekani, Israel

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amezipongeza juhudi za Pakistan za usuluhishi kati ya nchi yake, Marekani na Israel. Licha ya pongezi hizo, amesema uaminifu unahitajika ili kuutatua mzozo huo. Ameyasema hayo katika mazungumzo yaliyofanyika kwa njia ya simu Jumamosi na…