Category: Kimataifa
Trump: Iran isalimu amri, hakuna mazungumzo
Rais Donald Trump wa Marekani amesema hakutakuwa na mazungumzo wala makubaliano na utawala wa sasa wa Iran na ameitaka nchi hiyo “isalimu amri” kama sharti kwa Washington kusitisha vita vinavyoendelea. Trump ametoa ujumbe huo kupitia mtandao wake wa kijamii ambapo…
Marekani yasifu operesheni yake nchini Iran
Marekani imesifu operesheni yake nchini Iran na kusema inaelekea kumuangamiza adui hata kabla ya wakati huku ikisisitiza kuwa uwezo wa mashambulizi wa Iran umepungua maradufu ukilinganisha na siku ya kwanza ya vita. Kamanda mkuu wa Jeshi la Marekani Brad Cooper,…
China yajitolea kupatanisha Mashariki ya Kati
China imejitolea kuwa mpatanishi kwenye mzozo wa sasa wa Mashariki ya Kati baada ya uchokozi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran kusababisha vita kusambaa kote kwenye eneo hilo. Wizara ya Mambo ya Kigeni ya China imesema kwenye taarifa yake…
ECOWAS yaunda kikosi kupambana na ugaidi
Mataifa ya Afrika Magharibi yameamua kuunda kikosi cha wanajeshi 2,000 kukabiliana na makundi ya itikadi kali yanayozidi kuwa kitisho katika eneo hilo. Afisa mmoja mkuu wa jeshi wa Nigeria aliliambia shirika la habari la AFP kwamba maamuzi kuhusu kikosi hicho…
Israel na Iran zaendelea kushambuliana
Israel imeendelea kuyashambulia maeneo kadhaa ndani ya Iran usiku wa kuamkia leo na Iran nayo imejibu kwa kuvurumisha makombora ya masafa kuelekea Israel na kwenye nchi kadhaa za ghuba ya Uajemi. Mitikisiko mikubwa ilisikika kwenye mji mkuu wa Iran, Tehran,…
Ufaransa yapeleka ndege za kivita chapa Rafale UAE
Ufaransa imetuma ndege za kivita aina ya Rafale juu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ili kulinda vituo vyake vya kijeshi vya majini na vya anga dhidi ya mashambulizi ya Iran, huku kituo kimoja tayari kikilengwa na droni, Waziri wa…





