Category: Kimataifa
Hichilema ashinda muhula wa pili Zambia
Rais Hakainde Hichilema ameshinda uchaguzi wa urais Zambia kwa asilimia 60 ya kura, huku mpinzani wake Brian Mundubile akipata asilimia 38 na kudai kuwapo kwa dosari. Rais Hakainde Hichilema amechaguliwa tena kuiongoza Zambia kwa muhula wa pili baada ya kupata…
Israel yaanza tena mashambulizi katika ukanda wa Gaza
Taarifa ya jeshi la Israel IDF imesema shambulio hilo lilimlenga kamanda wa Hamas, likimtuhumu kwamba alikuwa akipanga mashambulizi dhidi ya vikosi vya Israel vinavyofanya kazi katika ukanda huo. Israel imefanya shambulio lake la kwanza la anga huko Gaza baada ya…
Zaidi ya watu 130 wafa kwa tetemeko la ardhi Colombia
Takriban watu 132 wamefariki baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga magharibi mwa Colombia, katika tukio kubwa zaidi la aina hiyo nchini humo kwa miaka kadhaa. Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 7.4 kwa kipimo cha Richter lilipiga jimbo la Chocó,…
Uhispania yatangaza hali ya dharura kufuatia moto wa nyika
Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila, karibu na mji mkuu, kufuatia milipuko kadhaa ya moto wa nyika inayoteketea bila kudhibitiwa. Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila,…
Iran na Marekani zazidi kutunishiana misuli
Marekani imeendelea kuishambulia Iran huku waasi wa Houthi nchini Yemen wakijiingiza katika vita hivyo kwa kuzishambulia meli za mafuta za Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu, ambazo wanasema zilikiuka kizuizi cha majini Iran na Marekani zimetishiana hapo jana kuongeza mashambulizi…
Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemwondoa Mkuu wa Majeshi ya Ukraine, Oleksandr Syrskyi, kutoka wadhifa wake. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya kuondolewa kwa Waziri wa Ulinzi aliyekuwa maarufu, Mykhailo Fedorov, hatua iliyosababisha maandamano katika maeneo mbalimbali nchini…





