JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Mashambulizi makubwa ya Urusi yaua 10 Ukraine

Ukraine imesema Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya droni usiku wa kuamkia leo dhidi ya Ukraine na kuua watu 10. Wengine 38 wamejeruhiwa, majengo kadhaa yakiwemo makaazi ya watu pia yameharibiwa ikiwemo katika mji mkuu Kiev. Maafisa wa Ukraine wamesema hayo…

Rwanda na Msumbiji zatia saini makubaliano ya usalama

Wakati wa ziara rasmi ya Rais Daniel Chapo mjini Kigali, mataifa hayo mawili yamefikia makubaliano ya amani na usalama ambayo yanatazamiwa kuimarisha ushirikiano wao katika kukabiliana na changamoto za kiusalama. Rwanda na Msumbiji zimetia saini makubaliano ya “amani na usalama”…

Marekani yamfuta kazi Mkurugenzi wa Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa

Ikulu ya Marekani imemfuta kazi Mkurugenzi wa Vituo vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC), Dkt. Susan Monarez, baada ya kukataa kujiuzulu siku ya Jumatano. Kupitia taarifa rasmi, Ikulu ilieleza kuwa Dkt. Monarez “hailingani na ajenda ya rais,” na kwa sababu…

Madaktari China wampandikiza binadamu mapafu ya nguruwe

Madaktari bingwa nchini China wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kufanya upandikizaji wa mapafu kutoka kwa nguruwe hadi kwa binadamu. Wanasema hilo linaoyesha uwezekano wa mafanikio katika utaratibu huo. Wanasema hilo linaoyesha uwezekano wa mafanikio katika upasuaji huo hata kama majaribio…

Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine

Jeshi la Urusi limedai kukikamata kijiji kingine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk na kuzidi kuingia kwenye maeneo ya Ukraine, huku hatua za kupatikana kwa makubaliano ya amani kwa mara nyingine zikikwama. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeesema vikosi vyake vimeteka eneo…

M23 yaishtumu Serikali kutumia mamluki kushambulia ngome zao

Mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamechukua sura mpya baada ya waasi wa M23 kuishutumu serikali kwa kutumia mamluki wa kigeni kushambulia maeneo wanayoyadhibiti, ikiwemo eneo la makazi la Kadasomwa, lenye migodi katika wilaya ya Kalehe, mkoa wa Kivu…