Category: Kimataifa
Wanajeshi wa Marekani wajeruhiwa Saudi Arabia
Wanajeshi 12 wa Marekani wamejeruhiwa kufuatia shambulio lililolenga kambi ya anga ya Prince Sultan nchini Saudi Arabia, huku vita kati ya Iran na Marekani na Israel ikiingia mwezi wa pili. Idadi hiyo imeongezeka kutoka 10 iliyoripotiwa awali, kwa mujibu wa…
Israel yapanga kuendeleza mashambulizi yake Iran
Waziri wa ulinzi wa Israel, Israel Katz ametangaza mipango ya kutanua mashambulizi yake Iran, huku kukiwa na uwezekano kufanyika mazungumzo kati ya Marekani na Tehran. Kulingana na Ofisi yake, Katz amesema hatua iliyochukuliwa inatokana na makomborayanayoendelea kurushwa Israel kutoka Iran….
Mazungumzo kati ya Iran na Marekani yapo njia panda
Wakati vita vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Iran vikiingia siku yake ya 28 siku ya Ijumaa, kunatajwa dalili za mazungumzo ya kukomesha vita hivyo, ingawa mashambulizi baina yao hayajasita. Iran na Marekani bado zipo njia panda kuhusu suala…
UN: Mgogoro mashariki mwa DRC unaongezeka
Kaimu Mkuu wa Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa mgogoro katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa Kongo, unazidi kuongezeka. Vivian van de Perre amesema…
Trump aongeza muda kusitisha mashambulizi kwa siku 10
Rais Donald Trump wa Marekani amesema Iran ilimwomba asitishe mashambulizi kwa siku saba kwenye biwanda vya nishati, lakini ameipa siku kumi, na Tehran “ikamshukuru sana” kwa hatua hiyo. Awali, Trump alitangaza kwenye mtandao wa Truth Social kwamba ataongeza muda wa…
Iran: Hatuna nia ya kufanya mazungumzo na Marekani
Iran imetupilia mbali mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Mashariki ya Kati huku ikiendeleza mashambulizi zaidi dhidi ya Israel na nchi za Ghuba. Tehran hata hivyo imesema inalipitia tena pendekezo hilo lakini Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran…





