JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Israel yaendeleza mashambulizi Ukanda wa Gaza

Mashambulio ya Israel yasababisha mauaji ya watu wawili akiwemo muandishi habari na kuwajeruhi wengine tisa, Ukanda wa Gaza. Israel imeshambulia mahema yanayotumiwa kama makaazi na Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ,nje ya hospitali mbili kubwa kwenye Ukanda huo na kuua…

Wapalestina waliouawa Gaza wafikia 50,700

Watu wasiopungua 15 ikiwemo mwandishi habari mmoja wameuawa leo kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya vikosi vya Israel na kufanya idadi ya Wapalestina waliouawa tangu Oktoba 2023 kupindukia 50,000. Taarifa kutoka Ukanda wa Gaza zinasema vikosi vya Israel…

Mvua kubwa yauwa zaidi ya watu 30 Kinshasa

MVUA kubwa iliyonyesha kwenye mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imewauwa karibu watu 30 na kusababisha kuharibu mkubwa katika mji huo mkubwa. Watu wengine wamejeruhiwa vibaya na kuhamishiwa kwingine. Waziri wa Afya ya umma wa moa wa…

Vifo tetemeko la Myanmar vyafikia 2000

Waokoaji wamemuokoa mwanamke mmoja aliyefunikwa na kifusi kwenye jango la hoteli moja lililoporomoka nchini Myanmar, maafisa walisema siku ya Jumatatu. Mwanamke huyo amekaa siku tatu baada ya tetemeko kubwa la ardhi lililosababisha vifo vya watu karibia 2,000 huku waokoaji nchini…

Trump akasirishwa na Rais Putin

DONALD Trump amesema kuwa ana “hasira kubwa” na “amechukizwa” na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, baada ya wiki kadhaa za majaribio ya kusitisha mapigano nchini Ukraine. Katika mahojiano na NBC News, rais huyo wa Marekani alisema anakerwa na Putin kwa…

Iran italipiza kisasi ikiwa itashambuliwa na Marekani

Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amesema Marekani itapata pigo kubwa ikiwa itatekeleza tishio la kuishambulia kwa mabomu Iran ikiwa haitafikia makubaliano mapya ya nyuklia na Marekani. Kiongozi huyo mkuu wa Iran amesema ikiwa Marekani inafikiria kuleta uchochezi ndani…