JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Bibi harusi apigwa risasi na kuuawa katika tafrija ya harusi yake Ufaransa

Bibi harusi ameuawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia harusi yake katika kijiji karibu na mji wa kusini-mashariki wa Ufaransa wa Avignon baada ya watu waliokuwa wamejifunika nyuso zao kufyatua risasi, maafisa wa eneo walisema. Mshukiwa mmoja wa shambulizi pia…

Kenya mwenyeji wa fainali za Michuano ya Mataifa ya Afrika

Kenya imepongeza tangazo la Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) kuwa nchi hiyo itakuwa mwenyeji wa fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) Agosti. Akipongeza hatua hiyo, mkuu wa Shirikisho la Soka la Kenya Hussein Mohammed, aliishukuru CAF kwa…

Marekani yashambulia vinu vya nyuklia Iran

Hatimaye, Marekani imeingia rasmi katika mgogoro wa kijeshi kati ya Israel na Iran kwa kuishambulia Iran moja kwa moja, katika kile kinachoelezwa kuwa ni hatua ya kuisaidia Israel katika vita vinavyoendelea kwa zaidi ya siku kumi. Kwa kutumia ndege za…

Mashambulizi yaendelea mzozo wa Iran na Israel

Jeshi la Israel limeripoti kuwa Iran imefanya mashambulizi yaliyohusisha msururu wa makombora Ijumaa mchana. Ni wakati waziri wa mambo ya nje wa Iran akiwa mjini Geneva kwa mazungumzo katika juhudi za kuutatua mzozo huo. Taarifa ya jeshi la Israel imesema…

Israel yatangaza kuzidisha mashambulizi dhidi ya Iran

Waziri wa ulinzi wa Israel Israel Katz amesema Alhamisi kuwa amewaagiza wanajeshi kuzidisha mashambulizi dhidi ya Iran, ikiwa ni pamoja na kuendeleza malengo ya serikali ya “kudhoofisha” uongozi wa Tehran. Katz ameongeza kuwa yeye na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu walitoa…

Marekani yaidhinisha dawa mpya ya kuzuia virusi vya UKIMWI

Taasisi ya kudhibiti dawa ya Marekani imeidhinisha dawa mpya ya kuzuia virusi vya Ukimwi. Dawa hiyo inayofanya kazi kwa muda mrefu, Lenacapavir, inahitaji tu kutumika mara moja kila baada ya miezi sita na mwenyekiti wa ugunduzi wake, Daniel O’Day amesema…