Category: Kimataifa
Viongozi wa kisiasa na kidini duniani wampongeza Papa mpya Leo XIV
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anauita “wakati wa kihistoria” kwa Kanisa Katoliki, na anapanua “ujumbe wa udugu”. “Naomba papa huyu mpya awe wa amani na matumaini,” anasema. Rais wa Poland Andrzej Duda ametoa “pongezi zake za dhati”, akiandika kwenye mitandao…
Kardinali Robert Prevost achaguliwa kuwa papa wa kwanza Mmarekani
Kardinali Robert Prevost, mmisionari Mmarekani ambaye alitumia maisha yake nchini Peru na ambaye anaongoza ofisi yenye ushawishi mkubwa ya maaskofu katika Vatican, amechaguliwa kuwa Papa wa kwanza Mmarekani katika historia ya miaka 2,000 ya Kanisa Katoliki. Prevost, mwenye umri wa…
Papa mpya apatikana
Moshi mweupe umeonekana ukifuka kutoka kwenye bomba la moshi katika Kanisa la Sistine Chapel, ni wazi mchakato wa upigaji kura umekamilika na makadinali wamemchagua mrithi wa Papa Francis. Bado hatujui ni nani amechaguliwa, lakini itaonekana wazi watakapotokea kwenye roshani ya…
Trump : Nitafanya makubaliano ya kibiashara na ‘nchi inayoheshimika sana’
Rais wa Marekani Donald Trump amekejeli kile alichokiita “mkataba mkuu wa kibiashara”, ambao utakuwa makubaliano ya kwanza kutangazwa tangu atoze ushuru kwa makumi ya washirika wa kibiashara wa Marekani. Atafanya mkutano wa waandishi wa habari saa 10:00 huko Washington DC…
Usitishaji mapigano wa Urusi waanza kutekelezwa Ukraine
Mpango wa upande mmoja wa kusitisha mapigano uliotangazwa na Moscow umeanza kutekelezwa muda mfupi baada ya saa sita usiku. Usitishaji huo wa mapigano kwa saa 72 unatarajiwa kudumu hadi saa sita usiku Jumamosi kuamkia Jumapili. Rais wa Urusi Vladmir Putin…
Makadinali washindwa kumchagua papa mpya duru ya kwanza
Moshi mweusi umetoka kwenye chimni ya Kanisa la Sistine ishara kuwa makadinali wameshindwa kumchagua kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki katika duru yao ya kwanza ya kura ya kongamano lao. Makumi ya maelfu ya watu walikusanyika katika viwanja vya Mtakatifu Petro kusubiri…