Category: Kimataifa
Makadinali 133 wajumuika Vatican kumchagua mrithi wa Papa
Makadinali 133 kutoka sehemu mbalimbali za dunia wamejumuika mjini Vatican kushiriki zoezi muhimu na la kihistoria la kumchagua papa atakayemrithi hayati Papa Francis aliyeongoza Kanisa Katoliki kwa miaka 12. Mjumuiko huu maarufu kama conclave umeanza shughuli hiyo katika kanisa dogola …
Wazazi wanaotafuta haki ya ‘kifo cha huruma’ kwa mtoto wao aliye kitandani miaka 12
Nirmala Rana, mwenye umri wa miaka 60, ameketi kando ya kitanda cha mwanawe mwenye umri wa miaka 30, Harish. Mwaka 2013, Harish, akiwa mwanafunzi wa uhandisi wa ujenzi, alianguka kutoka ghorofa ya nne ya jengo katika jiji la kaskazini mwa…
Baraza Maalumu la kumchagua Papa kuanza leo Vatican
Baraza Maalumu la Siri kwa ajili ya kumchagua kiongozi mpya wa kanisa katoliki duniani, litaanza baadaye leo kwenye Makao Makuu ya Kanisa Katoliki mjini Vatican. Makadinali 133 kutoka kila pembe ya dunia watakusanyika kwenye kanisa dogo la Sistine kuanza zoezi…
India yaishambulia Pakistan kwa makombora
INDIA imefyetua makombora kadhaa ndani ya ardhi ya Pakistan mapema leo alfajiri na kusababisha vifo vya watu 8, katika mashambulizi yanayoweza kuzusha vita baina ya nchi hizo mbili jirani na hasimu wa miaka mingi. Mamlaka za Pakistan zimesema makombora ya…
Israel yashambulia miundombinu ya waasi wa Houthi
Israel imesema imefanya mashambulizi ya kulipa kisasi dhidi ya waasi wa Houthi wa nchini Yemen kwa kuyalenga maeneo kadhaa yenye mafungamano na waasi hao. Hayo yamejiri siku moja baada ya kundi hilo kufyetua kombora la masafa lililoanguka karibu na uwanja…
Gari la Papa Francis lageuzwa zahanati ya kuwatibu watoto wa Gaza
Moja ya magari yaliyotumiwa na Papa Francis kusalimia maelfu ya watu litageuzwa kuwa zahanati inayotembea ili kusaidia watoto wa Gaza. Shirika la hisani la Caritas linalosimamia mradi huo, lilisema gari hilo lililotumika wakati wa ziara ya marehemu Papa mjini Bethlehem…