Category: Kimataifa
Papa ashindwa kuongoza misa
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, jana Jumapili ameshindwa kuongoza misa kama ilivyo kawaida yake kutokana na matatizo ya kiafya yanayomsumbua. Vatican ilithibitisha kupitia taarifa rasmi kwamba Papa Francis hatokuwa na uwezo wa kuongoza misa hiyo kutokana na changamoto…
Imamu aliyejitangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja auawa
Muhsin Hendricks, mtu mashuhuri aliyejulikana kama imamu wa kwanza duniani aliyejitangaza hadharani kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja, ameuwa kwa risasi nchini Afrika Kusini. Kiongozi huyo wa kidini mwenye umri wa miaka 57 alikuwa anaongoza msikiti mmoja katika jijini la…
Watu 18 wauawa katika kituo treni India
Takriban watu 18 wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea kwenye kituo cha reli cha New Delhi. Maelfu ya watu waliripotiwa kujaa kwenye kituo cha treni Jumamosi usiku walipokuwa wakijaribu kupanda treni zilizochelewa. Wanne kati ya waathiriwa walikuwa watoto,…
Papa alazwa, hali yake yaimarika
Papa Francisko, mwenye umri wa miaka 88, amelazwa katika Hospitali ya Gemelli mjini Roma kutokana na maambukizi ya njia ya hewa yanayosababishwa na bronkiti. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Vatican, hali yake inaendelea kuimarika baada ya kupatiwa matibabu stahiki. Kwa…
Trump, Putin kumaliza vita ya Ukraine kabla ya Pasaka?
Gazeti la Financial Times limewanukuu maafisa wa ngazi ya juu wa Ukraine na Magharibi wakidai kuwa Rais wa Urusi, Vladimir Putin, na Rais wa Marekani, Donald Trump, wanajaribu kufikia makubaliano ya kusitisha vita vya Ukraine ifikapo Pasaka au Siku ya…
Mkuu wa zamani wa Google ahofia AI inaweza kutumiwa na magaidi
Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Google anahofia kwamba taarifa za kijasusi za Akili Mnemba zinaweza kutumiwa na magaidi au ‘majimbo matapeli’ kuwadhuru watu wasio na hatia. Eric Schmidt aliiambia BBC: “Hofu halisi niliyo nayo sio ile ambayo watu wengi huzungumza…