JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

NATO kuwasilisha kiwango kikubwa cha silaha kwa Ukraine

Muungano wa kijeshi wa NATO unaratibu ufikishaji wa kawaida wa silaha kubwa kwa Ukraine baada ya Uholanzi kusema itatowa mfumo wa ulinzi wa anga, risasi na msaada mwengine wa kijeshi wenye thamani ya euro milioni 500. Sweden pia ilitangaza siku…

Trump aagiza kuwekwa nyambizi za nyuklia baada ya malumbano

Rais wa Marekani Donald Trump anasema ameamuru manowari mbili za nyuklia “kuwekwa katika maeneo yanayofaa” kujibu matamshi “ya uchochezi” ya Rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev. Trump alisema alitenda hilo “ikiwa tu kauli hizi za kipumbavu na za uchochezi…

Trump amfukuza kazi mkuu wa Idara ya Takwimu za Zjira

Rais wa Marekani Donald Trump amemfukuza kazi mkuu wa idara inayoshughulikia takwimu za ajira baada ya idara hiyo kuchapisha takwimu ambazo kwa mtazamo wa Trump zinavunja moyo Rais Trump bila ya kutoa Ushahidi wowote amemshutumu Bi. Erika McEntarfer, kwa kuchakachua…

Ukraine yailenga miundombinu ya Urusi kwa kutumia dronI

UKRAINE kwa mara nyingine imefanya mashambulizi makubwa ya ndege zisizo na rubani kwenye mikoa ya Urusi Mashambulizi hayo ya usiku kucha wa kuamkia siku ya Jumamosi yamesababisha milipuko katika miundombinu ya kuchakata mafuta. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imesema hii…

Marekani, Umoja wa Ulaya zafikia makubaliano ya ushuru

Marekani na Umoja wa Ulaya zimefikia makubaliano ya kibiashara yanayoshusha ushuru kwa bidhaa za Ulaya hadi asilimia 15 kutoka kitisho cha awali cha Rais Donald Trump cha asilimia 30. Trump na Rais wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen,…

Urusi yaimiminia tena Ukraine ‘mvua ya droni’

Jeshi nchini Ukraine liliwasha ving’ora vya tahadhari kwenye maeneo mengi ya nchi hiyo kufuatia mashambulizi mengine makubwa ya droni kutoka Urusi usiku wa kuamkia Jumatatu (Julai 28). Kwa mujibu wa jeshi, wakaazi wa mji mkuu, Kiev, na maeneo mengine walitakiwa…