Category: Kimataifa
Watu 11 wauawa wakiwemo 8 wa familia moja Ukanda wa Gaza
Mashambulizi ya Israel yaliyoelekezwa katika kambi ya wakimbizi katika mji wa Khan Younis yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 11. Miongoni mwa waliouwawa ni watoto watatu. Msemaji wa Idara ya ulinzi wa raia ya Gaza imesema mapema leo kuwa watu wanane wa…
Usalama nchini Sudan Kusini wazidi kuzorota
Balozi za Kanada, Ujerumani, Uholanzi, Norway, Uingereza, Marekani na Umoja wa Ulaya zimesema hali ya kisiasa na usalama ya Sudan Kusini “inazidi kuwa mbaya” tangu kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo Katika taarifa ya pamoja, balozi hizo…
Man United na Tottenham zaona ‘mwezi’ michuano ya Europa
Ushindi mnono wa Manchester United na Tottenham Hotspurs kwenye mkondo wa kwanza wa nusu fainali za Ligi ya Europa zimeamsha matumaini mapya kwa vikosi hivyo vya England. Ushindi huo umeleta matumaini kwa timu hizo kushinda kombe hilo na kufuzu kushiriki michuano…
Kujiondoa kwa Marekani kutatingisha pakubwa miradi ya kiafya – WHO
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa uamuzi wa kujiondoa kwa mfadhili wao mkubwa Marekani kutatingisha pakubwa miradi ya kiafya ya shirika hilo la umoja wa mataifa. Mkuu wa WHO Tedros Ghebreyesus ametoa wito kwa mataifa mengine yaendelee kuchangia ili…
Mamia ya wanajeshi wa DRC watafuta hifadhi UN
Mamia ya wanajeshi na maafisa wa polisi wa Congo wanaotafuta hifadhi katika kituo cha Umoja wa Mataifa huko Goma tangu kutekwa kwa mji huo wa mashariki mwezi Januari wanahamishiwa Kinshasa, Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ilisema Jumatano. ICRC ilisema…
Watano wauawa kwa shambulio wanaoshukiwa kuwa Al-Shabaab Kenya
Wafanyakazi watano wa machimbo ya mawe wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia shambulio lililofanywa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al-Shabaab katika eneo la machimbo katika Kijiji cha Bur Abor, Mandera Mashariki nchini Kenya. Katika kisa kilichotokea mapema Jumanne asubuhi,…