JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Maambukizi ya Ukimwi kuongezeka mara sita 2029

Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Ugonjwa wa Ukimwi, Winnie Byanyima, amesema kuwa idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi huenda ikaongezeka mara sita zaidi ifikapo mwaka 2029, endapo Marekani haitaendelea na mpango wa kusiadia…

Trump : Kuna matumaini ya kumaliza vita Ukraine

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaamini kwamba Washington, inapiga hatua katika mazungumzo yake ya kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine. Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaamini kwamba Washington, inapiga hatua katika mazungumzo yake ya kumaliza vita kati…

Askari wa Kongo waliokimbia mapigano kushitakiwa

Wanajeshi wapatao 75 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo watapandishwa kizimbani leo, kwa kukimbia mapigano baada ya waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda kusonga mbele katika jimbo la mashariki la Kivu Kusini. Taarifa iliyotolewa Jumapili na ofisi ya mwendesha…

Bondia wa ngumi afariki wiki moja baada ya pambano

Bondia wa uzani wa Super-feather, John Cooney (28), amefariki dunia baada ya kushindwa na Nathan Howells wa Wales katika pambano lililofanyika Belfast Jumamosi iliyopita. Cooney, raia wa Ireland, alikumbwa na tatizo la kutokwa na damu kwenye ubongo na kufanyiwa upasuaji…

Watu 50 wauawa katika shambulio la kuvizia Mali

Zaidi ya watu 50 wameuawa karibu na mji wa kaskazini-mashariki mwa Mali wa Gao siku ya Ijumaa baada ya washambuliaji waliokuwa na silaha kuvizia msafara uliokuwa ukilindwa na jeshi lake, amesema afisa wa eneo hilo na wakaazi. Shambulio hilo lilitokea…

Rais wa kwanza wa Namibia afariki akiwa na umri wa miaka 95

Rais wa kwanza wa Namibia huru, Sam Nujoma, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95 katika mji mkuu wa Windhoek, kiongozi wa sasa wa nchi hiyo ametangaza. Nujoma aliongoza vita vya muda mrefu vya kudai uhuru kutoka kwa Afrika…