Category: Kimataifa
Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut, Tehran
Israel imesema imeanzisha mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Beirut na Tehran, na milipuko iliripotiwa katika ubalozi wa Marekani mjini Riyadh, Saudi Arabia, baada ya shambulio la droni la Iran.
Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda
Marekani imeweka vikwazo vikali kwa jeshi la Rwanda na makamanda wake wanne wakuu, ikiwashutumu kwa kuchochea migogoro katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Wizara ya Hazina inasema Jeshi la Ulinzi la Rwanda limekuwa likitoa mafunzo, kuandaa, na kupigana pamoja na…
Ubalozi wa Marekani Saudi Arabia washambuliwa
Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imethibitisha kwamba ubalozi wa Marekani mjini Riyadh ulishambuliwa na ndege mbili zisizo na rubani, kulingana na makadirio ya awali. Katika taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa X, wizara hiyo ilisema hii ilisababisha “moto mdogo na…
Macron : Ufaransa itaongeza silaha za nyuklia
Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametoa hotuba muhimu jana Jumatatu kuhusu sera ya silaha za nyuklia za nchi hiyo katika wakati washirika wake wa Ulaya wana wasiwasi juu ya vitisho vinavyoongezeka kutoka Urusi. Katika hotuba hiyo, Rais Macron amesema Ufaransa…
Bei ya mafuta yapanda kutokana na mzozo Mashariki ya Kati
BEI ya mafuta imepanda leo Jumatatu huku masoko ya hisa yakiropomoka kutokana na kishindo cha mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yaliyoanza siku ya Jumamosi. Pipa moja la mafuta ghafi limefikia karibu dola 80 kwenye soko…
Israel yafanya wimbi jingine la mashambulizi Tehran
Israel imesema imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi katikati mwa Tehran, ikilenga kufikia kitovu cha mji mkuu na kutawala anga ya Iran, baada ya wimbi la kwanza lililomuua Kiongozi Mkuu wa taifa hilo. Milipuko mikubwa imeripotiwa Jumapili mjini Tehran huku mashambulizi…





