JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

ECOWAS yaunda kikosi kupambana na ugaidi

Mataifa ya Afrika Magharibi yameamua kuunda kikosi cha wanajeshi 2,000 kukabiliana na makundi ya itikadi kali yanayozidi kuwa kitisho katika eneo hilo. Afisa mmoja mkuu wa jeshi wa Nigeria aliliambia shirika la habari la AFP kwamba maamuzi kuhusu kikosi hicho…

Israel na Iran zaendelea kushambuliana

Israel imeendelea kuyashambulia maeneo kadhaa ndani ya Iran usiku wa kuamkia leo na Iran nayo imejibu kwa kuvurumisha makombora ya masafa kuelekea Israel na kwenye nchi kadhaa za ghuba ya Uajemi. Mitikisiko mikubwa ilisikika kwenye mji mkuu wa Iran, Tehran,…

Ufaransa yapeleka ndege za kivita chapa Rafale UAE

Ufaransa imetuma ndege za kivita aina ya Rafale juu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ili kulinda vituo vyake vya kijeshi vya majini na vya anga dhidi ya mashambulizi ya Iran, huku kituo kimoja tayari kikilengwa na droni, Waziri wa…

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut, Tehran

Israel imesema imeanzisha mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Beirut na Tehran, na milipuko iliripotiwa katika ubalozi wa Marekani mjini Riyadh, Saudi Arabia, baada ya shambulio la droni la Iran.

Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda

Marekani imeweka vikwazo vikali kwa jeshi la Rwanda na makamanda wake wanne wakuu, ikiwashutumu kwa kuchochea migogoro katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Wizara ya Hazina inasema Jeshi la Ulinzi la Rwanda limekuwa likitoa mafunzo, kuandaa, na kupigana pamoja na…

Ubalozi wa Marekani Saudi Arabia washambuliwa

Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imethibitisha kwamba ubalozi wa Marekani mjini Riyadh ulishambuliwa na ndege mbili zisizo na rubani, kulingana na makadirio ya awali. Katika taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa X, wizara hiyo ilisema hii ilisababisha “moto mdogo na…