JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo

Waedesha mashitaka wa umma katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wameomba rais wa zamani wa taifa hilo Joseph Kabila kupewa adhabu ya kifo katika kesi inayomkabili ya uhaini. Kabila anashitakiwa bila kuwepo mahakamani kwa makosa hayo na mengine ya uhalifu…

Urusi yapuuza kufanya mazungumzo na Zelensky

Ikulu ya Urusi imepuuzilia mbali mazungumzo kuhusu mkutano kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na Volodymyr Zelensky wa Ukraine, huku Donald Trump akitoa wito kwa viongozi hao wawili kukutana ili kujadili kumaliza vita nchini Ukraine. Shinikizo la kufanyika kwa…

Marekani, Ulaya zajadili dhamana ya ulinzi kwa Ukraine

Maafisa wa ngazi ya juu wa kijeshi kutoka Marekani na mataifa ya Ulaya wamekutana kwa mara ya kwanza mjini Washington kuandaa mipango ya utekelezaji wa mkataba wa amani kati ya Urusi na Ukraine pindi utaafikiwa. Mkutano huo umejumuisha maandalizi ya…

Msimamo wa Israel kuhusu vita haujabadilika

ISRAEL bado haijatoa majibu ya uhakika kuhusu mapendekezo mapya ya kusitisha vita kwenye Ukanda wa Gaza ambayo yaliridhiwa siku ya Jumatatu na kundi la Hamas. Vyanzo vilivyo karibu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu vimeyaambia mashirika kadhaa ya habari…

Kanisa la miaka 113 kuhamishwa hadi katikati ya jiji la Uswidi

Kanisa la kihistoria ambalo limekuwepo kwa miaka 113 lililo hatarini kuzama kutokana na mtikiso wa chini ya ardhi linakaribia kuhamishwa lote jinsi lilivyo- kwa mwendo wa kilomita 5 (maili 3) kando ya barabara kaskazini mwa Uswidi. Kanisa hilo lenye muundo…

Mkutano wa amani kati ya Putin na Zelenskyy wanukia

Rais wa Urusi na Ukraine wanatazamiwa mnamo siku chache zinazokuja kufanya mazungumzo ya amani ambayo yatakuwa ya kwanza tangu Moscow ilipoivamia Ukraine zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Matumaini ya mkutano huo kati ya Rais Vladimir Putin wa Urusi na Volodymyr…