JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Wapiganaji kundi la PKK wakabidhi silaha nchini Iraq

Katika tukio lililoshuhudiwa na vyombo mbalimbali vya habari, zaidi ya wapiganaji 30 wa kundi la PKK wamekabidhi silaha zao rasmi nchini Iraq. Hatua hii imekuja kama sehemu ya makubaliano ya kupunguza vita na vurugu katika eneo la Kurdistan na kuimarisha…

China yaadhimisha miaka 80 ya ushindi kwa gwaride la kijeshi

China imefanya gwaride kubwa la kijeshi katika uwanja wa Tiananmen jijini Beijing kuadhimisha miaka 80 tangu kushindwa kwa Japan mwishoni mwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Gwaride hilo limetasfiriwa na wachambuzi kama ishara ya mabadiliko ya nguvu za kisiasa,…

Kijiji kizima chafukiwa na maporomoko Sudan, watu zaidi ya 1,000 wafariki

Jimbo la Darfur limekumbwa na janga kubwa la maporomoko ya ardhi ambapo kijiji kizima cha Tarasin kilichoko katika milima ya Jebel Marra kimesombwa kabisa na kusababisha vifo vya takriban watu 1,000. Mamlaka za ndani nchini Sudan, Umoja wa Mataifa na…

Watu 1,000 wafariki katika maporomoko ya ardhi Sudan

Katika tukio la kusikitisha lililotokea magharibi mwa Sudan, takriban watu 1,000 wamefariki dunia kufuatia maporomoko ya ardhi katika eneo la milima ya Marra huku mtu mmoja pekee akinusurika. Takriban watu 1,000 wamefariki kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyotokea katika eneo la…

Zelensky: Putin hana nia ya kusitisha mapigano

Kauli ya Rais Volodymyr Zelensky kwamba Rais Vladimir Putin hana nia ya kushiriki katika mazungumzo ya kusitisha mapigano amekuwa akiirudia mara kwa mara tangu kuanza kwa vita vya Ukraine mwaka 2022. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema haoni dalili yoyote…

Israel yamuua Waziri Mkuu wa Houthi Yemen

Waziri Mkuu wa Serikali ya Houthi nchini Yemen, Ahmed al-Rahawi, ameuwawa kwa shambulio la anga la Israel tarehe 28 Agosti 2025. Shambulio hilo lililenga mkutano wa viongozi waandamizi mjini Sanaa na kuua pia mawaziri kadhaa. Houthi wamethibitisha kifo hicho na…