JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Watu 54 wauwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan

Watu 54 wameuwawa wakiwa sokoni mjini Omdurman baada ya shambulio lililofanywa na wanamgambo wa RSF siku ya Jumamosi. Kulingana na wahudumu wa afya ambao wameomba kutokutajwa majina kwa sababu za kiusalama, majeruhi wa tukio hilo bado walikuwa wakiendelea kufikishwa katika…

SADC watangaza mshikamano na DRC

Mkutano umejiri baada ya wanajeshi 13 kutoka Afrika Kusini na watatu kutoka Malawi, kuuawa katika mapigano Goma nchini DRC, ambapo walikuwa wamepelekwa kama sehemu ya juhudi za kudumisha amani za kikanda. Viongozi wa mataifa ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi…

Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine

Shambulizi la droni la Urusi lililolenga jumba la makazi katika mji wa Sumy, mashariki mwa Ukraine, limesababisha vifo vya watu tisa. Rais Volodymyr Zelensky amelielezea shambulizi hilo kama janga kubwa la uhalifu wa Urusi, akisisitiza umuhimu wa dunia kuongeza shinikizo…

Ebola yathibitishwa Uganda, muuguzi afariki Kampala

Muunguzi mwenye umri wa miaka 32 alifariki katika mji mkuu wa Uganda, Kampala, kutokana na ugonjwa wa Ebola, Wizara ya Afya ya nchi hiyo ilithibitisha siku ya Alhamisi Wizara ya Afya ya Uganda imethibitisha Alhamisi mlipuko wa ugonjwa wa Virusi vya…

Kiongozi wa M23 : Hatuondoki Goma, tunaitaka Kinshasa

Kiongozi wa kisiasa wa kundi la waasi la M23 Corneille Nangaa ameapa kuwa wapiganaji wake hawatauachia mji wa Gomana kudokeza kuhusu azma ya kusonga mbele hadi mji mkuu Kinshasa. Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi. Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda ambao…

Kisanduku cheusi cha ndege iliyoanguka Washington DC chapatikana

Maafisa wamepata kifaa cha kurekodi data na kinasa sauti cha ndege, kinachojulikana kama kisanduku cheusi, kutoka kwa ndege ya American Airlines, chanzo kilithibitishwa na mshirika wa BBC wa Marekani CBS News. Kisanduku cheusi kinaweza kusaidia kutoa vidokezo kuhusu kile ambacho…