JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Marekani yamfukuza balozi wa Afrika Kusini kwa kumchukia Rais Trump

Marekani imemfukuza balozi wa Afrika Kusini Ebrahim Rasool. Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio amesema balozi huyo ni mwanasiasa mbabe, haipendi Marekani na anamchukia Rais Donald Trump. Uhusano kati ya Marekani na Afrika Kusini umekuwa ukizorota tangu Trump alipokata…

Urusi yakubali kumaliza vita Ukraine

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amesema kuwa nchi yake iko tayari kusitisha mapigano na Ukraine, lakini anasisitiza kuwa suluhisho hilo lazima lilete amani ya kudumu na kushughulikia chanzo halisi cha mgogoro huo. Putin aliyasema hayo wakati wa mkutano na waandishi…

Ukraine yakubali pendekezo la usitishaji mapigano

Maafisa wa Marekani na Ukraine wamefanya mazungumzo ya usuluhishi wa mzozo kati ya Urusi na Ukraine mjini Jeddah, Saudi Arabia, katika juhudi za kusisitisha vita. Ukraine imelikaribisha pendekezo la Marekani la kusitisha mapigano kwa siku 30 katika vita na Urusi…

Masoko ya hisa ya kimataifa yaporomoka

Masoko ya hisa barani Asia yameshuka baada ya mauzo ya hisa nchini Marekani kupanda kutokana Rais Donald Trump kutotoa hakikisho kwamba ushuru wake unaweza kusababisha mdororo katika uchumi mkubwa zaidi duniani. Kuporomoka kwa hisa hizo kumefuatia maoni ya Trump kwamba…

Marekani yakamilisha mchakato wa kufuta miradi 5,200 ya USAID

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio amesema mchakato wa serikali ya Rais Donald Trump wa kusitisha misaada kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la USAID umekamilika. Kwenye mtandao wa X, Rubio amesema baada ya wiki sita za…

Papa ataendelea kubaki hospitali kwa matibabu

Madaktari wamesema Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis atasalia hospitalini kwa siku nyingine kadhaa. Taarifa iliyotolewa na Vatican jana Jumatatu ilisema papa Francis anaendelea vizuri na matibabu. Taarifa hiyo iliongeza Papa Francis licha ya kuonekana kupata nafuu siku chache zilizopita,…