Category: Kimataifa
Putin akataa kusitisha vita, akubali kusitisha mashambulizi ya nishati Ukraine
Rais Vladimir Putin amekataa usitishaji vita wa mara moja na kamili nchini Ukraine, akikubali tu kusitisha mashambulizi kwenye miundombinu ya nishati, kufuatia mazungumzo yake na Rais wa Marekani Donald Trump. Kiongozi huyo wa Urusi alikataa kutia saini usitishaji vita wa…
Wanaanga waliokwama angani kwa miezi tisa warejea duniani
Baada ya miezi tisa angani, wanaanga wa Nasa Butch Wilmore na Suni Williams hatimaye wamerejea duniani. Chombo chao cha angani cha kampuni ya SpaceX kilitua kwa kasi kupitia angahewa ya Dunia, kabla ya miamvuli minne kufunguliwa ili kuwapeleka kwenye pwani…
Rwanda yavunja uhusiano na Ubelgiji
Serikali ya Rwanda imetangaza kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Ubelgiji, ikidai kuwa Ubelgiji imekuwa ikiidhoofisha Rwanda wakati wa mzozo unaoendelea mashariki mwa DR Congo. Ubelgiji nayo imetangaza kuwafukuza wanadiplomasia wa Rwanda, na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ubelgiji, Maxime…
Nchi 43 kupigwa marufuku kusafiri Marekani
UTAWALA wa Rais wa Marekani Donald Trump umetoa pendekezo la kuweka marufuku mpya ya kusafiri kuingia nchini humo itakayowaathiri raia wa mataifa kadhaa kwa viwango vinavyotofautiana. Kulingana na gazeti la Marekani la New York Times lililowanukuu maafisa ambao hawakutajwa majina…
Marekani yamfukuza balozi wa Afrika Kusini kwa kumchukia Rais Trump
Marekani imemfukuza balozi wa Afrika Kusini Ebrahim Rasool. Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio amesema balozi huyo ni mwanasiasa mbabe, haipendi Marekani na anamchukia Rais Donald Trump. Uhusano kati ya Marekani na Afrika Kusini umekuwa ukizorota tangu Trump alipokata…
Urusi yakubali kumaliza vita Ukraine
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amesema kuwa nchi yake iko tayari kusitisha mapigano na Ukraine, lakini anasisitiza kuwa suluhisho hilo lazima lilete amani ya kudumu na kushughulikia chanzo halisi cha mgogoro huo. Putin aliyasema hayo wakati wa mkutano na waandishi…