Category: Kimataifa
Trump akiri kutokuwepo kwa amani ya kudumu Israel, Hamas
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema hana uhakika na kuwepo kwa amani ya kudumu kati ya Israel na Hamas licha ya kuwa sehemu ya mpango wa kusitisha mapigano uliowezesha kuachiwa kwa mateka ambapo akizungumza kabla ya mkutano wake na Waziri…
M23 watangaza kusitisha mapigano kupisha misaada ya kiutu
WAASI wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda wametangaza usitishaji wa mapigano kuanzia Jumanne huko mashariki mwa Kongo kwasababu za kiutu. Haya yanafuatia miito ya njia salama ya misaada kutolewa kwa maelfu ya watu walioachwa bila makao. Tangazo hilo la…
Shabiki wa soka achomwa kisu hadi kufa wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Ghana
Shabiki maarufu wa mpira wa miguu amechomwa kisu hadi kufa wakati wa mechi ya ligi nchini Ghana siku ya Jumapili. Mchezo huo ulikuwa kati ya moja ya klabu zenye wasomi na mafanikio makubwa nchini – Kumasi Asante kotoko na neigbours…
Watu 54 wauwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan
Watu 54 wameuwawa wakiwa sokoni mjini Omdurman baada ya shambulio lililofanywa na wanamgambo wa RSF siku ya Jumamosi. Kulingana na wahudumu wa afya ambao wameomba kutokutajwa majina kwa sababu za kiusalama, majeruhi wa tukio hilo bado walikuwa wakiendelea kufikishwa katika…
SADC watangaza mshikamano na DRC
Mkutano umejiri baada ya wanajeshi 13 kutoka Afrika Kusini na watatu kutoka Malawi, kuuawa katika mapigano Goma nchini DRC, ambapo walikuwa wamepelekwa kama sehemu ya juhudi za kudumisha amani za kikanda. Viongozi wa mataifa ya Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi…
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine
Shambulizi la droni la Urusi lililolenga jumba la makazi katika mji wa Sumy, mashariki mwa Ukraine, limesababisha vifo vya watu tisa. Rais Volodymyr Zelensky amelielezea shambulizi hilo kama janga kubwa la uhalifu wa Urusi, akisisitiza umuhimu wa dunia kuongeza shinikizo…