Category: Kimataifa
Bilionea Tata afariki akiwa hana mke wala mtoto
Bilionea na mfanyabiashara wa India aliyetambulika kimataifa, Ratan Tata (86) amefariki dunia Jumatano usiku baada ya kuugua kwa muda mrefu na kulazwa katika hospitali ya breach candy. Taarifa ya kifo chake imetolewa na Kampuni ya Tata aliyoiongoza kwa zaidi ya…
Jaji Mkuu Kenya kuunda jopo la majaji kusikiza kesi ya kupinga kuondolewa madarakani kwa Gachagua
Jaji Lawrence Mugambi amepeleka kesi ya kupinga kutimuliwa kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa Jaji Mkuu Martha Koome ili kuunda jopo la majaji litakalosikiza na kuamua suala hilo. Katika uamuzi wake wa Ijumaa asubuhi, Jaji Mugambi alisema ombi hilo linaibua…
Rubani afariki dunia angani
Ndege ya Shirika la Ndege la ‘Turkish Airlines’ lenye makao makuu yake nchini Uturuki imeripotiwa kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy jijini New York nchini Marekani mara baada ya nahodha wa ndege hiyo, Ilcehin Pehlivan…
Watu 339 wafariki dunia kufuatia mvua kubwa Niger
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini Niger zimesababisha vifo vya watu 339 na kuwaacha zaidi ya watu milioni 1.1 bila makaazi rasmi tangu mwezi Juni. Waziri wa mambo ya ndani mwezi uliopita alifahamisha kuwa takriban watu 273 walipoteza maisha na wengine 700,000…
Watu 10 wafariki dunia baada ya mgodi kuporomoka Zambia
Takriban watu 10 wamekufa na idadi ya wengine isiyojulikana hawajulikani walipo baada ya mgodi kuporomoka katikati mwa Zambia. Mamlaka nchini Zambia imesema shughuli ya uokoaji inaendelea japo haijabainika idadi kamili ya wachimbaji madini waliofukiwa chini ya ardhi. Mgodi huo uliporomoka…
Taye Selessie achaguliwa kuwa Rais mpya Ethiopia
Mabunge mawili ya Bunge la Ethiopia yamemchagua Taye Atske Selassie, Mwanadiplomasia kuwa Rais wa nchi hiyo. Taye Atske Selassie ameapishwa Oktoba 07, 2024 na kukabidhiwa katiba na Rais wa nchi anayemaliza muda wake. Taye anachukua mikoba ya Rais wa kwanza…