JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Zelensky : Ukraine itapoteza vita ikiwa Marekani itapunguza ufadhili

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky aliiambia Fox News siku ya Jumanne kwamba Ukraine itapoteza vita ikiwa Washington, mfadhili wake mkuu wa kijeshi, ataondoa ufadhili. Kiongozi huyo wa Ukraine alisema itakuwa “hatari sana iwapo tutapoteza umoja barani Ulaya, na lililo muhimu…

Tuhuma nyingine mpya dhidi ya P Diddy zazidi kumiminika

Mwanamuziki wa Hip-hop, Sean “Diddy” Combs kwa sasa yuko chini ya ulinzi wa Serikali akisubiri kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za utapeli na utumwa wa ngono. Kukamatwa kwake huko New York kulikuja huku kukiwa na msururu wa tuhuma za unyanyasaji wa…

Urusi inasonga mbele kwa kasi nchini Ukraine

Jeshi la Urusi linasonga mbele kwa mafanikio makubwa, katika mstari wa mbele wa vita nchini Ukraine, kwa mujibu wa utafiti. Taarifa kutoka Taasisi ya Utafiti wa Vita (ISW) inaonyesha, kwa mwaka 2024 Urusi imenyakua karibu mara sita ya maeneo iliyonyakua…

Ukraine yaishambulia Urusi kwa makombora ya Marekani ya ATACMS

Ukraine imeapa kutokata tamaa katika siku ya 1,000 ya uvamizi wa Urusi, huku ikisisitiza dhamira yake ya kushinda vita dhidi ya Moscow. Wakati huo huo, Urusi imeongeza mvutano kwa kutangaza tishio jipya la nyuklia, ikilenga kuzuia mashambulizi yanayowezekana dhidi ya…

Mgombea wa upinzani atangazwa mshindi wa urais Somaliland

Katika uchaguzi mkuu wa urais uliofanyika Novemba 13 nchini Somaliland, kiongozi wa upinzani Abdirahman Mohamed Abdullahi, maarufu kama “Irro”, ameibuka mshindi baada ya kupata asilimia 63.92 ya kura zote. Karibia watu milioni 1.2 walijitokeza kupiga kura, na zoezi hilo lilielezewa…

Dawa maarufu ya kupunguza uzito yaanza kuuzwa China

Kampuni ya Novo Nordisk imezindua dawa yake ya kupunguza uzito ya Wegovy nchini China baada ya kuidhinishwa na mamlaka ya afya mwezi Juni. Zaidi ya watu milioni 180 wanaishi na uzito wa kupindukia nchini China, ambayo ina idadi ya watu…