Category: Kimataifa
Uganda yasaka ufadhili wa kuzalisha megawati 1,600 za umeme
Uganda inasaka ufadhili wa ujenzi wa mitambo mitatu ya kuzalisha umeme wa nyongeza wa maji wa zaidi ya megawati 1,600, kwa lengo la kukabiliana na ongezeko la mahitaji ya nishati hiyo. Afisa wa Wizara ya Nishati nchini Uganda, Julius Namusaga,…
Israel: Mashambulizi ya Iran ni kitendo kikubwa cha uchokozi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao cha dharura usiku wa kuamkia Alhamis kujadili mzozo unaozidi kutanuka wa Mashariki ya Kati. Balozi wa Iran kwa Umoja wa Mataifa ameliambia baraza hilo kwamba madhumuni ya nchi yake kuvurumisha makombora…
Biden: Marekani haiungi mkono shambulio la Israeli
Rais wa Marekani Joe Biden amesema kuwa haungi mkono shambulio katika maeneo ya nyuklia ya Iran kufuatia mashambulizi ya makombora ya masafa ya Iran dhidi ya Israel na kuitaka Israel kuchukua hatua ” sawia” dhidi ya adui yake mkuu wa…
Iran yatishia kushambulia miundombinu yote ya Israeli
Mkuu wa majeshi ya Iran Meja Jenerali Mohammad Bagheri ametishia kulenga miundombinu ya Israel, ikiwa itachukua hatua zozote za kulipiza kisasi dhidi ya Tehran. “Ikiwa [Israeli]… inataka kuendeleza uhalifu huu au inataka kufanya lolote dhidi ya mamlaka yetu na uadilifu…
WHO: Afrika ina barabara, gari chache lakini ajali nyingi
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Afya (WHO) linasema ingawa Afrika ina barabara na magari machache zaidi kuliko kanda nyingine, ndiyo yenye idadi kubwa kabisa ya vifo vya ajali za barabarani. Ripoti hiyo ya hivi karibuni ya WHO inasema ajali…
Iran yaishambulia Israel kwa makombora 180
Iran imeishambulia Israel kwa makombora kadhaa na kuongeza joto katika mzozo wa miezi kadhaa baina ya Israel na makundi yanayoungwa mkono na Iran ya Hamas na Hezbollah. Msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari amesema shambulizi la makombora kiasi 180…