JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Trump ayaonya mataifa ya BRICS dhidi ya kutafuta mbadala wa dola

Rais mteule wa Marekani Donald Trump ametishia kutoza ushuru wa asilimia 100 kwa muungano wa mataifa tisa wa BRICS iwapo yataunda sarafu pinzani dhidi ya dola ya Marekani. “Wazo kwamba Nchi za BRICS zinajaribu kujiepusha na Dola huku sisi tukiwa…

Israel yafanikiwa kulizuia kombora kutoka Yemen

Mamlaka ya ulinzi wa anga ya Israel imesema imefanikiwa kulizuia kombora ambalo limefyatuliwa kutoka Yemen. Asubuhi ya mapema ya jana ving’ora vya mashambulizi ya anga vilisikika karibu na Tel Aviv na katika maeneo mengine. Tovuti ya habari ya Israel ynet…

Makabiliano yazuka kati ya raia wenye hasira na wapiganaji wa Wagner Bambari

Katika kikiji cha Bambari, katikati mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati, msafara wa wanajeshi wa Urusi kutoka kundi la Wagner waliwashambulia kwa gari watu walipokuwa wakifanya mazoezi ya gwaride kwa ajili ya sikukuu ya kitaifa, Desemba 1. Wakiwa na hasira,…

Biden: Ukraine inahitaji kuendelea kusaidiwa kwa udharura

Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga mkono Ukraine. Rais wa Marekani Joe Biden amesema, mashambulizi ya hivi karibuni ya Urusi dhidi ya Ukraine yanaonyesha dharura ya kuiunga…

Israel yaendeleza mashambulizi Gaza na kuuwa watu 17

Wapalestina 17 wameuawa kwenye mashambulizi ya kijeshi ya Israel katika Ukanda wa Gaza, wakati vikosi vya Israel vikiendeleza mashambulizi kwenye maeneo ya kati na kuvisogeza vifaru vyao kaskazini na kusini mji huo. Watu sita waliuauwa katika mashambulizi mawili tofauti ya…

Putin: Mashambulizi ya Ukraine ni ujumbe mkali kwa Magharibi

Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema mashambulizi makali ya angani yaliyoilenga miundombinu ya nishati ya Ukraine yalikuwa jibu kwa Kyiv kuyapiga maeneo ya Urusi kwa kutumia makombora iliyopewa na nchi za Magharibi. Akiahidi kuwa Moscow siku zote itajibu matumizi ya…