JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Naibu Waziri Khamis akagua mabanda ya maonesho ya mazingira

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amehimiza wananchi kuendelea kuunga mkono Serikali katika kutumia nishati safi ya kupikia ambayo ni rafiki kwa mazingira. Ametoa kauli hiyo wakati akitembelea na kukagua mabanda ya…

WiNTz yazinduliwa kuongeza ushiriki wa wanawake katika Nyuklia

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam LICHA ya mafanikio makubwa yaliyopatikana katika sayansi na teknolojia ya nyuklia duniani, bado kuna mwanya mkubwa wa ushiriki wa wanawake katika sekta hii muhimu. Changamoto kama mitazamo hasi ya kijamii, idadi ndogo ya…

Mbegu za miti ya asili zavutia wananchi Banda la TFS Maonesho ya Mazingira Dodoma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakazi wa Jiji la Dodoma na wageni kutoka maeneo mbalimbali wameonyesha kuvutiwa na mbegu bora za miti ya asili zinazozalishwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), wakieleza kuwa elimu wanayoipata kutoka banda la TFS…

Serikali yatoa bil. 26.9 kujenga skimu ya umwagiliaji Mwamapuli

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), imeingia mkataba na mkandarasi mzawa kampuni ya Samota limited kujenga mradi wa skimu ya umwagiliaji Mwamapuli, katika kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga mkoani Tabora, mradi ambao utagharimu…

Majaliwa : TBS hakikisheni soko la Tanzania linakuwa na bidhaa bora

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameutaka uongozi wa Shirika la Viwango Tanzania kutokuwa na huruma na bidhaa zisizokuwa na ubora kwani Serikali inataka soko la Tanzania liwe na bidhaa bora, salama na zenye kuleta tija kwa mlaji na kwa uchumi. Amewataka…

Serikali kuzifanyia ukarabati shule kongwe zilizochakaa

OR – TAMISEMI Serikali kupitia bajeti yake ya mwaka 2025/2026 inakusudia kuzifanyia ukarabati shule zote kongwe za msingi na sekondari zilizochakaa ili kuzirejesha katika mwonekano wake wa awali. Kauli hiyo imetolewa leo Juni 04, 2025 bungeni Jijini Dodoma na Naibu…