Category: MCHANGANYIKO
NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
Na Mwandishi Maalum Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kutoa matibabu ya moyo ya watoto 250 katika kipindi cha miaka minne, hatua…
Tutaendelea kuilinda Tanzania na usalama wa raia na mali zao – Rais Dk Samia
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amehoji juu ya maoni ya baadhi ya watu kuwa nguvu zilizotumika kwenye kudhibiti vurugu zilizotokea Oktoba 29 (iliyokuwa siku ya uchaguzi…
Rais Samia : Walioandaa vurugu walidhamiria kuangusha dola ya nchi yetu
“Lililotokea (vurugu za Oktoba 29) ni tukio la kutengenezwa na walilolitengeneza walidhamiria makubwa, walidhamiria kuangusha dola ya nchi hii..” “Ukiangalia clip videos za nyuma zilizotokea, vijana wetu walifanywa makasuku na kuimbishwa kabisa yaliyotokea Madagascar yatokee na hapa, lakini ukimvuta kijana…
Kunenge : Bodaboda wote wapewe mafunzo ya usalama barabarani mkoani Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kisarawe Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameagiza mafunzo ya kuwajengea weledi maofisa usafirishaji (bodaboda) kuhusu usalama barabarani na sheria za usafirishaji kutolewa katika mkoa mzima. Aidha, amezitaka mamlaka husika, ikiwemo Jeshi la Polisi na…




