Category: MCHANGANYIKO
Rais Mstaafu Kikwete aongoza ujenzi wa Taasisi Himilivu ya Ubia wa Elimu Duniani
Na Mwandishi Wetu Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete ameongoza Mkutano wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (Global Partnership for Education, GPE), ambaye yeye ni Mwenyekiti wake. Mkutano huo unaofanyika Paris, Ufaransa tarehe 3-4 Juni, 2025 unahudhuriwa na Wajumbe…
Tanzania yatoa rai kwa Jumuiya ya Kimataifa kudhibiti vyanzo vikuu vya migogoro duniani
Na Mwandishi Wetu Tanzania imetoa rai kwa Jumuiya ya Kimataifa kuweka mikakati madhubuti ikiwemo kuwashirikisha wanawake katika masuala ya amani na usalama ili kudhibiti migogoro ambayo vyanzo vyake vikuu ni ukabila, ubaguzi wa rangi, itikadi kali na migogoro kuhusu maliasili…
Balozi Nchimbi msibani kwa mzee Mongella
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akisaini kitabu cha maombolezo na kumpatia pole, Mama Gertrude Ibengwe Mongella, familia yake na waombolezaji wengine, kwa msiba wa Mzee Silvin Ibengwe Emmanuel Mongella, ambaye ni mwenza wa…
Majaliwa aziagiza halmashauri kuweka vituo vya kuchakata taka
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri zote nchini zihakikishe kuwa zinaweka vituo vya kuchakata na kutenganisha taka ili zinapozalishwa ziweze kushughulikiwa kwa njia salama na endelevu, kwa lengo la kupunguza mzigo wa taka…
Pinda: Kupatikana matibabu ya kibingwa ya moyo nchini kumewaokoa wengi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kupatikana kwa huduma za kibingwa za matibabu ya moyo hapa nchini kumewasaidia wananchi wengi kupata huduma hizo kwa wakati na hivyo kuokoa maisha yao. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba…
Mwenge wa Uhuru wazindua miradi ya bilioni 44.1 Ilala
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenge wa Uhuru wazindua miradi saba ya maendeleo Wilayani Ilala yenye thamani ya shilingi bilioni 44.1 na kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Isimail Ally Ussi. Akizungumza katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru…