JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Elimu iwajenge wanafunzi kujitegemea

Serikali ya hapa Uingereza inaandaa mabadiliko makubwa ya elimu amabko mfumo wa mitihani utakuwa tofauti. Lazima nasi Watanzania tujifunze kitu hapa kwa sababu tumekuwa na kasumba ya kubadili mfumo bila sababu zake kueleweka wazi.

Yah: The big four The big poor, So what?

Wanangu poleni na uchovu wa mawazo. Sitaki kuwapa kongole ya kazi kwa sababu naomba nikiri wazi kuwa nyote ni wababaishaji na hamna lolote mnalofanya zaidi ya kuungaunnga kile tulichokifanya sisi kwa ujana wetu.

Makanisa mengi ni dalili ya kukata tamaa

Juzi nimesoma habari inayohusu utajiri wa kutisha, wa baadhi ya viongozi wa madhehebu ya kikristo. Viongozi wanaotajwa, wengi wao ni hawa wa madhehebu yanayoibuka na kusajiliwa kila siku. Nilifurahi kusoma habari hiyo kwa sababu imebeba kile ambacho mara zote nimekiamini.

Yanga ina jinamizi la saikolojia

Kila upande wa mabingwa wa kandanda Afrika Mashariki na Kati, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) yenye makao yake makuu katika mitaa ya Jangwani na Twiga jijini, unaelekea kukabiliwa na jinamizi la kisaikolojia.

Zijue amri 10 za kujihakikishia umasikini milele

Mpendwa msomaji, najua juma lililopita vyombo vya habari vilitawaliwa na mauaji ya mwandishi Daudi Mwangosi. Nawashukuru wanahabari kwa mshikamano waliouonesha nchi nzima kwa maandamano, wanahabari tuendelee hivi hivi bila kutetereka.

Tanzania nako kuna 
Okwi, Bocco, Bahanuzi

Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara inayodhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom, hatimaye imeanza Jumamosi iliyopita huku timu tatu za Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club mabingwa watetezi, Azam (Wanalambalamba) iliyoshika nafasi ya pili na Dar es Salaam Young Africans (Yanga) ya mitaa ya Jangwani na Twiga, zote za jijini zikipewa nafasi kubwa ya kuitawala.