JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania kunufaika na fursa lukuki kupitia ushirikiano wa Afrika na Singapore

• Miongoni mwa maeneo ya ushirikiano ni masoko ya mazao ya kilimo, elimu na mafunzo kwa vijana, nishati jadidifu, na uchumi wa kidijitali Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeshiriki hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Tano wa Mawaziri wa Mambo ya…

Serikali yataka Mashirika ya Umma kuiga sekta binafsi kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeyataka Mashirika ya Umma kujifunza kutoka kwa sekta binafsi kuhusu namna bora ya kuendesha taasisi na hivyo kuongeza ufanisi wao. Wito huo ulitolewa Agosti 26, 2025, na Naibu Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko wakati…

Dkt. Asha-Rose Migiro akabidhiwa Ofisi kama Katibu Mkuu wa kwanza mwanamke

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Dkt. Asha-Rose Migiro amepokelewa rasmi katika Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)akiwa Katibu Mkuu huku akimefungua ukurasa mpya katika historia yake ya uongozi kwa kuwa Katibu Mkuu mpya Mwanamke. Ikumbukwe kuwa tangu kuanzishwa kwa CCM mwaka…