Category: MCHANGANYIKO
Waandishi wa habari watakiwa kuandika habari zinazoeleza umuhimu wa maadili kwa viongozi wa umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Stahiki) Sivangilwa Mwangesi amesema Sekretarieti ya Maadili itaendeleza ushirikiano na vyombo vya Habari nchini na kuvitaka kuendelea kuandika habari zinazoeleza umuhimu wa Maadili kwa Viongozi wa Umma. Jaji…
REA yahamasisha wananchi kutumia mkaa mbadala
📌Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira 📌Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake Wakala wa Nishati Vijijini unahamasisha wananchi kote nchini kutumia nishati safi ya kupikia ikiwemo Mkaa mbadala ambao umeelezwa kuwa na gharama nafuu na ni salama…
Rushwa yazidi  kuporomoka na Kukosa Nafasi Ruvuma
Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Katika kipindi kifupi cha miezi mitatu tu, Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imeandika historia mpya ya uwajibikaji, uwazi na vita dhidi ya vitendo vya rushwa, ikiongozwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)…
CCM yatangaza vipaumbele tisa vya Ilani ya Uchaguzi 2025–2030
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza vipaumbele tisa vya Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2025–2030, ambayo itatumika kunadi sera zake kwa wananchi katika Uchaguzi Mkuu ujao. Ilani hiyo imewasilishwa jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati…
Rais Samia ataka mchujo wa wagombea ndani ya CCM uendeshwe kwa haki na uwazi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa chama hicho kuhakikisha mchakato wa kuwachuja wagombea unazingatia haki, maadili na maslahi ya chama pamoja na…
Waziri Mkuu akutana na Makamu wa Rais wa JICA
*JICA, Benki ya Dunia na AFDB watoa Dola za Marekani mil 516 miradi ya kilimo *Washauri elekezi wawili Mjapan na Mtanzaniia wawekwa TIC kurahisha uwekezaji WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) limeihakikishia…