Category: MCHANGANYIKO
Dk Mwinyi ashiriki kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM Taifa kilichoketi Jijini Dodoma na kuongozwa na Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri…
TLP yamchagua Wangira kugombea Urais
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) kimemchagua Yusuph Wangira, kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho katika uchaguzi mkuu wa chama hicho uliofanyika Wilaya ya Ubungo mkoa Dar…
Kituo cha Ubia PPPC, REDET kujadili nafasi ya ubia kwenye dira ya 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KITUO cha Ubia kati Sekta Binafsi na Sekta ya Umma (PPPC) kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Masuala Demokrasia (REDET) chini ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wameandaa kongamano kwa ajili…