Category: MCHANGANYIKO
Shemdoe awasilisha randama ya makadirio ya mapato na matumizi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewasilisha randama ya makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2026/27. Mhe. Prof. Shemdoe…
Lukuvi atakumbukwa kwa mengi – Waziri Mkuu
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa mengi na Watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka katika nafasi mbalimbali…
REA yamaliza kero ya umeme Kilombero, Ulanga shughuli za kiuchumi zaimarika
Na Stella Aron JamhuriMedia, Ifakara Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewaondolewa kero ya umeme ya kukatikatika mara kwa mara wakazi wa mji wa Ifaraka na Ulanga baada ya Kituo cha cha Kupokea, Kupoza na Kusambaza umeme cha Ifaraka…
Serikali yakaribisha wawekezaji kutoka Uturuki
Na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji kutoka Uturuki kuwekeza katika sekta za kimkakati zikiwemo miundombinu, nishati na kilimo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha maendeleo ya uchumi na kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia kati…
Tanzania, Zambia kuimarisha miundombinu ya kimkakati sekta ya madini
Serikali za Tanzania na Zambia zimeazimia kuongeza kasi ya uboreshaji wa miundombinu ya usafirishaji wa madini ili kuchochea ukuaji wa sekta ya madini katika ukanda wa Kusini mwa Afrika. Hatua hiyo ilisisitizwa Machi 25, 2026 na Naibu Waziri wa Madini…
Waziri Mkuu akiwasili nyumbani kwa hayati Lukuvi kuongoza waombolezaji
📍Idodi, Iringa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo la Isimani, Marehemu Mhe. William…





