Category: MCHANGANYIKO
Waziri Chana aunadi utalii nchini Japan, awaita wawekezaji
Na Mwandishi Wetu, Japan Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amenadi vivutio vya utalii vya nchini Tanzania huku akikaribisha wawekezaji kutoka nchini Japan kuwekeza Tanzania. Waziri Chana amesema hayo leo Mei 26, 2025 katika Kongamano la…
Mbunge Regina Ndege atoa majiko 100 kwa baba na mama lishe Babati
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Babati Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa wa Manyara Regina Ndege amekabidhi majiko 100 yenye thamani ya sh.mil.5,500,000 Kwa akina mama na baba Lishe wa Kata ya Riroda na Magugu wilayani Babati Mkoani humo ili kuendelea…
Ndege za ATCL zazidi kupasua anga ruti za Afrika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SalaM KAMPUNI ya Ndege ya (ATCL), imeendelea kutanua wigo wa safari zake na sasa iko katika mchakato wa kutafuta vibali vya kuanza safari za kutua mji wa Lagos Nigeria, Accra Ghana, Ivory Coast na…
Askofu Msaidizi Tabora awekwa Wakfu, Waziri Lukuvi amwakilisha Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. William Lukuvi, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ibada maalum ya kuwekwa wakfu kwa Askofu…
Rais Samia anataka taifa lenye upendo na maendeleo
đDkt. Biteko awaasa Watanzania kutogawanyika na kuendelea kuwa wamoja đ Awapongeza CCT kwa kuendelea kushirikiana đ Asema Serikali inathamini mchango wa CCT kwa maendeleo ya Taifa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na…
Katibu AMCOS Maswa afungwa jela miaka 20 kwa rushwa, uhujumu uchumi
Mei 20, 2025, Mahakama ya Wilaya Maswa imetoa hukumu kwa Bw. Masanja Andrew Mboje (36) ambaye ni Katibu wa AMCOS ya Gula, kifungo cha miaka 20 jela na kutakiwa kurejesha fedha kiasi cha sh 3,518,000 alizofanyia ubadhirifu. Katibu huyo alishtakiwa…