Category: MCHANGANYIKO
Wamiliki wa leseni za madini wafundwa, Tume yasisitiza utekelezaji wa sheria
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Tume ya Madini imeendelea kusisitiza utekelezaji wa sheria na kanuni katika sekta ya madini, ikiwataka wamiliki wa leseni kuhakikisha shughuli za uchimbaji zinawanufaisha watanzania na kulinda maslahi ya taifa. Akizungumza jijini Dodoma kwenye…
Serikali yawataka wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache kuhakikisha uongozi wao unaleta tija inayopimika kwa Serikali na wananchi, huku mkutano wa wakurugenzi wa kampuni zenye hisa chache za serikali (MIF…
RITA yawapiga msasa wajumbe Bodi mpya ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato
Na Mwandishi wlWetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Bw. Frank Kanyusi amewataka wajumbe wapya wa Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Waadventista Wasabato kutekeleza majukumu yao…
Tanzania yapokea magari ya zimamoto kutoka Japan kuimarisha huduma za uokoaji
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alipokea kwa niaba ya Serikali msaada wa magari matatu ya zimamoto na uokoaji yaliyotolewa na Taasisi ya Zimamoto ya Japan (Japan Firefighters Association). Magari hayo ni sehemu ya…
Serikali yaimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji kukuza viwanda nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imesisitiza azma yake ya kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini ili kuchochea ukuaji wa sekta za viwanda, kuongeza fursa za ajira, na kukuza mchango wa kiuchumi wa sekta binafsi. Lengo…





