Category: MCHANGANYIKO
TAMISA yawahamasisha vijana kuchangamkia Trilioni 5 za mikopo ya uwekezaji sekta ya madini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA) kimewataka vijana na Watanzania kwa ujumla kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizopo katika sekta ya madini kwa kutumia mikopo yenye thamani ya shilingi trilioni…
RITA kuwanoa wajumbe bodi za wadhamini mikoa sita
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama vya michezo na asasi za kiraia, Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA imeandaa mkutano na mafunzo kwa wajumbe wa…
Wadau sekta ya hali ya hewa wajadili utabiri wa masika 2026
Wadau kutoka sekta mbalimbali nchini wamekutana kujadili utabiri wa msimu wa Masika 2026 na kutoa ushauri wa kisekta katika Mkutano wa 25 wa Wadau wa Sekta ya Hali ya Hewa katika msimu wa Masika uliofanyika tarehe 2/2/2026, Jijini Dodoma. Mkutano…
Trump anavyoiangusha Marekani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika miaka ya karibuni dunia imeshuhudia mabadiliko makubwa katika siasa za Marekani – nchi ambayo kwa miongo mingi imekuwa ikijiona na kuonekana kama kinara wa demokrasia, utulivu na uongozi wa kimataifa. Hata hivyo,…
Rais Samia akutana na viongozi mbalimbali
Picha za baadhi ya matukio mbalimbali yaliyojiri kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kufanya vikao na Viongozi mbalimbali pembezoni mwa mkutano wa Jukwaa la Serikali za Dunia (WGS2026), tarehe 3 Februari, 2026…
Siku 100 za Rais Samia, bilioni 69 REA kunufaisha vitongoji 634 Ruvuma
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi kabambe wa shilingi bilioni 69 wa kusambaza umeme katika vitongoji 634 utakaonufaisha wateja wa awali 20,328 Mkoani Ruvuma. Meneja Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme wa REA, Mhandisi Deogratius Nagu amebainisha…





