Category: MCHANGANYIKO
Samia: Tumetimiza ndoto na maono ya Mwalimu Nyerere
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake ya awamu ya sita na awamu ya tano zimefanikiwa…
Miaka 26 bila Nyerere; Dk Samia anastahili pongezi kwa kulinda amani na umoja wa kitaifa
Tanzania tunapoadhimisha leo miaka 26 bila ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Amani na umoja ndizo tunu muhimu alizotuachia na zikisimamiwa kikamilifu na kwa nguvu kubwa na Rais wa awamu ya sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Majaliwa ashiriki ibada ya kumuombea baba wa taifa hayati Nyerere
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 14, 2025 ameshiriki katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Francisko wa Asizi, Mwanjelwa Mkoani Mbeya. Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor…
Makamu wa Rais ashiriki ibada ya kumuombea baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA KUMUOMBEA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ASISITIZA WANANCHI KUENDELEA KUMUOMBEA NA KUENDELEZA MEMA ALIYOFANYA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewasihi Watanzania kuendelea kumuombea Baba wa Taifa…
Ujenzi wa daraja la 6 kwa urefu Tanzania la Pangani wafikia asilimia 74.3
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 na Barabara unganishi na mchepuko zenye urefu wa Kilomita 25 hadi tarehe 30 Septemba 2025 umefikia asilimia 74.3 na kazi ambazo zimefanyika ni pamoja wa…