JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Bajeti 2025/26 kulenga miradi ya kimkakati, uchaguzi mkuu na maandalizi ya afcon

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ametaja Vipaumbele mahsusi katika utekelezaji wa bajeti ya Serikali kuwa vitahusisha miradi ya kielelezo, kuimarisha sekta za uzalishaji, huduma za jamii, na kuboresha mazingira ya biashara. Aidha, Serikali itagharamia maandalizi ya…

Bajeti 2025/26; miradi mikubwa yathibitisha mafanikio ya awamu ya sita

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewasilisha bajeti ya mwisho ya kipindi cha kwanza cha uongozi wa Awamu ya Sita kwa mwaka wa fedha 2025/26. Kupitia hotuba ya Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, mafanikio makubwa ya miradi ya kimkakati yamewekwa…

Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…

Tanzania kusimamia mkondo wa Pemba na ikolojia ya bahari kujenga uchumi wa bluu imara

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania imedhamiria kuhakikisha usimamizi endelevu wa mkondo wa Pemba pamoja na ikolojia ya baharini kwa ujumla. Amesema hayo wakati akifungua Mkutano wa pembezoni uliyohusu…

Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…