Category: MCHANGANYIKO
Ubia Serikali, sekta binafsi nguzo kuu ya Dira 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na uma wamesema Tanzania imepiga hatua kupitia Dira 2025 licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa huku wakitaja kuwa kilimo bado ni sekta dhaifu kutokana na…
Samia: Dk Mwinyi ndiye mgombea sahihi nitakayeshirikiana naye
Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media-Zanzibar Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi ndiye mgombea sahihi atakayeshirikiana naye kuleta maendeleo. Amesema ushirikiano huo…
Vijana wahimizwa kuendelea kulinda amani
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA nchini wametakiwa kuhakikisha wanalinda na kuendeleza amani iliyopo kwa kuwa wao ndiyo kundi kubwa katika jamii na wanabeba mustakabali wa taifa la kesho. Akizungumza leo Septemba 18, 2025 jijini Dar es Salaam…
Serikali ya Austria kufadhili miradi ya umeme Tanzania
📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka. 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa…
NIDA yawasajili wenye mahitaji maalum Temeke
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuadhimisha Siku ya Utambulisho Duniani, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa huduma maalum ya usajili kwa watu wenye mahitaji maalum katika Halmashauri ya Temeke, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu…
Mkurugenzi Kibaha asikiliza na kutatua kero za wajasiliamali Manispaa ya Kibaha
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, akiambatana na baadhi ya Wakuu wa Divisheni na Vitengo kutoka Halmashauri, ameendelea na zoezi la kufanya mikutano ya ana kwa ana na wajasiriamali wadogo wanaofanya biashara pembezoni mwa barabara katika Kata ya…





