Category: MCHANGANYIKO
Mifugo na Uvuvi 2025/26: Kanzidata mpya kuwanufaisha wavuvi
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepanga kuanzisha kanzidata ya kisasa kwa ajili ya usajili na utoaji wa vitambulisho vya kidijitali kwa wadau wote wa sekta ya uvuvi nchini. Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kushiriki kikamilifu kwenye…
Serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20 hadi 50 kwenye mitungi ya gesi laki 4.4- Kapinga
📌 Asema lengo ni kupunguza gharama na kuhamasisha Nishati Safi ya Kupikia 📌 REA kusambaza majiko banifu 200,000 kwa punguzo la hadi asilimia 75 📌 Baada ya umeme kufika kwenye vijiji vyote; Serikali kuendelea kuhamasisha matumizi ya majiko ya umeme…
Wizara ya Mifugo na Uvuvi yaomba Bunge Bajeti ya bil. 476.7 kwa mwaka 2025/26
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Bunge la bajeti likiwa linaendelea Jijini hapa,Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewasilisha ombi la bajeti ya shilingi bilioni 476.7 kwa ajili ya mwaka wa fedha 2025/2026, lengo likiwa ni kuendeleza shughuli za sekta hizo muhimu…
Makao makuu ya viwanda kuwa Dar yamechangia kudidimiza mapato Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Licha ya Mkoa wa Pwani kuongoza kwa idadi ya viwanda nchini, unakabiliwa na changamoto ya baadhi ya viwanda kulipa kodi katika Mkoa wa Dar es Salaam badala ya Pwani, jambo linalodidimiza mapato ya mkoa. Akizungumza…
Tumepata maarifa ya kutosha kutoka Mahakama ya Tanzania- Msajili Mkuu Kenya
Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma Msajili Mkuu wa Mahakama ya Kenya, Mhe. Winifrida Mokaya ameushukuru Uongozi wa Mahakama ya Tanzania kwa kukubali ombi la Mahakama hiyo kuja kujifunza na kusema kwamba wamepata maarifa ya kutosha yatakayowawezesha kutekeleza nchini mwao ili kuboresha…
Mbeki atembelea eneo la Mazimbu Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamahuriMedia, Morogoro Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki ametembelea eneo la kihistoria la Mazimbu, lililoko mkoani Morogoro ikiwa ni katika Maadhimisho ya Siku ya Afrika ambayo huadhimishwa Mei 25 kila mwaka. Ziara hiyo maalum imebeba…