Category: MCHANGANYIKO
Lindi mbioni kuwa lango kuu la uchimbaji madini
· Makusanyo yafika asilimia 105 MKOA wa Lindi unatarajiwa kuwa lango kuu la uchimbaji wa madini kutokana na kuonekana kuwa na aina zaidi ya 10 za madini mbalimbali yanayopatikana kwa wingi ikiwemo madini ya kimkakati kama Kinywe (Graphite) na Nickel….
Tanzania yazidi kujifunza uhifadhi na usimamizi wa mazingira kupitia bandari kupata chanzo cha biashara
Na Jovina Massano UJUMBE wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mhandisi Hamad Masauni ,umetembelea Bandari ya Oslo nchini Norway kwa lengo la kujifunza namna bandari hiyo inavyohifadhi mazingira na kuzuia…
TMA yatabiri uwepo wa baridi Juni -Agosti baadhi ya maeneo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema katika kipindi cha Juni hadi Agosti 2025 inatarajiwa hali ya baridi ya wastani hadi joto kiasi katika maeneo mengi ya nchini Pia imesema hali ya…
RC Makonda aridhishwa na maendeleo ya mradi wa madaraja ya King’ori barabara ya Arusha – Moshi
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda, amefanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa madaraja mawili ya King’ori yanayojengwa katika barabara kuu ya Arusha – Moshi na kuridhishwa na kasi na ubora wa…
Kenya yajitenga na Karua yatetea uamuzi wa Tanzania
Serikali ya Kenya imetetea uamuzi wa Tanzania kuwakataa baadhi ya viongozi wa kisiasa na wanaharakati wa Kenya kuingia nchini humo, hatua ambayo imezua mjadala mkali katika kanda ya Afrika Mashariki. Kupitia kwa Msemaji wake, Isaac Mwaura, serikali ya Kenya imesema…
Ifahamu mimea mitano inayolindwa zaidi duniani
Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mimea ni asilimia 80 ya chakula cha binadamu na asilimia 98 ya oksijeni. Pamoja na umuhimu huo bado iko kwenye tishio dhidi ya mazingira na viumbe wakiwemo…