Category: MCHANGANYIKO
Mheshimiwa Sitta acha kututania!
Nyalandu aanza kulipa ndege aliyofadhiliwa
Mara baada ya Balozi Khamis Kagasheki kujiuzulu kutokana na shinikizo la wabunge kadhaa, baada ya taarifa ya James Lembeli juu ya Operesheni Tokomeza kuwasilishwa bungeni Novemba, mwaka jana; Lazaro Nyalandu, wakati huo akiwa ni Naibu Waziri katika Wizara ya Maliasili na Utalii, alisafiri sana huku na kule nchini.
‘Hatuchukui tena makapi ya CCM’
Niliposoma maneno hayo katika Gazeti la Mwananchi toleo Na. 5098, Jumanne, Julai 8, 2014, ukurasa wa mbele (na maelezo uk. 4: Siasa) nilipigwa na butwaa!
Lakini nilitaka nijiridhishe na kile nilichokisoma kwa kuwapigia simu wahusika — Gazeti la Mwananchi. “Haya mliyoandika mna hakika yametamkwa na Dk. Wilbrod Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)?”
Operesheni saka wachawi yatikisa Geita
Vikongwe waauwa
Operesheni haramu ya mauaji ya kinyama dhidi ya wanawake vikongwe, inayofanywa na kikundi cha Chinja Chinja isipodhibitiwa mkoani wa Geita, kuna hatari ya hazina hiyo muhimu kwenye Taifa kumalizika kwa kuuawa bila hatia.
Mwanamke aliyenusurika kifo kisa dini
Meriam Yahia Ibrahim Ishag au Maryam Yahya Ibrahim Ishaq ni raia wa Sudani kwa anayeishi nchini Marekani katika Jimbo la Philadelphia kwa sasa, kutokana na kukimbia nchini kwake baada ya kupona hukumu ya kifo kwa madai ya kuasi dini yake.
Tuvunje Bunge la Katiba tukawahoji wananchi kama wanataka Muungano
Wiki hii nafahamu kuwa kuna tukio la aina yake nchini. Ni kwa mantiki hiyo, nashindwa kuendelea na mada yangu ya gesi. Naomba niisogeze mbele kwa wiki moja. Yanayotokea ni ya mpito, ila Tanzania itabaki.
- Ufaransa yapeleka ndege za kivita chapa Rafale UAE
- Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut, Tehran
- Rais Samia afuturisha mabalozi, wakuu wa mashirika ya kimataifa, Ikulu Dar
- Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa kupanda miti, kugawa misaada Babati
- Serikali Zanzibar yaimarisha ukuaji sekta ya viwanda kwa kuvutia uwekezaji
Habari mpya
- Ufaransa yapeleka ndege za kivita chapa Rafale UAE
- Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut, Tehran
- Rais Samia afuturisha mabalozi, wakuu wa mashirika ya kimataifa, Ikulu Dar
- Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa kupanda miti, kugawa misaada Babati
- Serikali Zanzibar yaimarisha ukuaji sekta ya viwanda kwa kuvutia uwekezaji
- Mgalau aendelea kuiunga mkono jamii kwa vitendo, asisitiza mashikamano na maadili
- Wakulima wa kahawa Kijiji cha Liyombo washauriwa kujiimarisha kimaendeleo kupitia mauzo ya zao hilo
- Rais Samia aiagiza Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya nishati ya mafuta
- FCC kuwalinda walaji
- Kwanini Serikali inamiliki hisa chache kwenye kampuni
- Baada ya onyo kali la DC Kaslida, wafugaji aondoka Same kwa hiari
- Muonekano wa eneo la Mradi wa ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta
- Rais Samia aweka jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta Bandari ya Dar
- Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda
- Ubalozi wa Marekani Saudi Arabia washambuliwa