Category: MCHANGANYIKO
148 mbaroni kwa ubakaji, ulawiti Arusha
Na Mwandishi Wetu -Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi mkoani Arusha kupitia operesheni iliyofanyika kuanzia mwezi Aprili mwaka huu hadi sasa limefanikiwa kuwakamata watumiwa 148 wa makosa mbalimbali ikiwemo ubakaji, ulawiti, dawa za kulevya na pombe ya moshi. Akitoa…
Kamati mpya ya ukaguzi Wizara ya Nishati yafanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani
📌 Yapongeza Serikali utekelezaji miradi ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Pwani Kamati mpya ya Ukaguzi ya Wizara ya Nishati imefanya ziara katika miradi ya umeme mkoani Pwani ili kujionea utekelezaji wa miradi hiyo hali itakayopelekea Kamati husika kumshauri vyema…
Polisi Dodoma yawaomba wananchi kutoa taarifa za wahalifu
Na Dotto Kwilasa, Jamhuri Media, Dodoma Jeshi la Polisi mkoa wa Dodoma limewaomba wakazi wa mkoa huo kushirikiana kwa kutoa taarifa za watu wanaoshukiwa kuwa na viashiria vya uhalifu ili kusaidia kuwadhibiti mapema kabla hawajatekeleza vitendo vya kihalifu. Kamanda wa…
Askofu Dk Dickson Chilongani asimikwa kuwa Mkuu wa pili wa Chuo Kikuu cha St John Tanzania
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania, Mahimbo Mndolwa ameongoza Ibada ya kumsimika Mkuu wa chuo (Chancellor) wa pili wa Chuo Kikuu cha St John,Askofu Dk Dickson Chilongani. Askofu Dk Chilongani ambaye ni Askofu wa Dayosisi…
Wananchi zaidi ya milioni 9 wanufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kupitia Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, halmashauri 180, kata 1,907 na vijiji/mitaa 5,702 vimefikiwa, ambapo wananchi wapatao 2,698,908 walinufaika kwa kupata elimu na huduma za kisheria. Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt….