Category: MCHANGANYIKO
Serikali yazindua utekelezaji Mradi wa TACTIC wenye thamani ya Trilioni 1.1 kwa uboreshaji miji 11
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imezindua rasmi utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mikataba ya Mpango wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Miji (TACTIC), yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 410 sawa na…
Waziri Mkuu aongoza kikao cha 13 cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya 2022
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongoza Kikao cha 13 cha Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka. 2022 kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Juni 25, 2025. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,…
Nidhamu, uwajibikaji nguzo ya mageuzi ya elimu – ADEM
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Maulid J. Maulid, ameeleza nidhamu na uwajibikaji ni chachu ya mafanikio katika sekta ya elimu Kauli hiyo aliitolewa 25 Juni, 2025 wakati akifungua…
Mkutano Mkuu ARSO waanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar MKUTANO Mkuu wa 31 wa Shirika la Viwango la Afrika (ARSO) umeanza leo katika Hoteli ya Golden Tulip iliyoko Zanzibar, ukivuta wajumbe kutoka kila kona ya Afrika. Tukio hili, lililosimamiwa na Showtime, limeonyesha urari mzuri…
Rais Samia ameweka alama kwa watumishi wa Magereza Arusha
📌Nishati safi ya kupikia ni endelevu 📌Yaelezwa ni salama na mkombozi wa mazingira Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameacha alama mkoani Arusha kwa kugawa mitungi ya gesi 528 na majiko yake kwa watumishi…