Category: MCHANGANYIKO
Jafo aonya vijana kunywa pombe kupita kiasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, ameitaka jamii kuzingatia matumizi ya pombe kwa kiasi, hasa pombe kali, kufuatia utafiti uliofanywa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) unaoonesha kuwa unywaji pombe kupindukia miongoni mwa…
Runali chagawa pembejeo 3000 kwa wakulima zao korosho Nachingwea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nachingwea Wakulima wa zao la Korosho katika vijiji vya Kiparamtuwa na Farmseventine katika WIlaya ya Nachingwea mkoani Lindi wameipongeza Serikali kupitia Wizara ya kilimo na Chakula kwa kuwapatia pembejeo za ruzuku aina ya Simba Sulphur Dust…
Uboreshaji bandari ya Karema unaofanywa na Serikali kupitia TPA wavutia wawekezaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi MABORESHO na ujenzi wa miundombinu ya kisasa inayofanywa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imevutia wawekezaji katika Bandari ya Karema iliyopo Ziwa Tanganyika, mkoani Katavi, Wilaya ya Tangabyika. Hayo yameelezwa leo…
Ubovu wa barabara Arusha, kikwazo cha maendeleo, usalama na hadhi ya Jiji la Kitalii
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Jiji la Arusha, moja ya miji muhimu ya kitalii na kibiashara nchini Tanzania, linakabiliwa na changamoto kubwa ya ubovu wa barabara, hasa zile zilizopo katikati ya mji. Barabara nyingi ni nyembamba na hazijaendelezwa kulingana na…