Category: MCHANGANYIKO
Ngozi asisitiza kulinda amani iliyodumishwa na waasisi wa taifa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, Taifa na Mlezi wa Mkoa wa Pwani, Lailah Burhan Ngozi, amewataka Watanzania kuilinda kwa nguvu zote amani ya Tanzania waliyoachiwa na waasisi wa Chama cha Mapinduzi…
Mahakama Kuu Kanda ya Songea yafanikiwa kumaliza kesi 19 kati ya 22
Na Mwandishi Wetu, Songea MAHAKAMA kuu kanda ya Songea,imefanikiwa kumaliza kusikiliza mashauri 19 ya kimkakati sawa na asilimia 86 yanayohusu kodi,biashara,benki na ardhi kati ya 22 yaliyofikishwa mahakamani mwaka 2025. Hayo yamesemwa jana na Jaji Mfawidhi wa Mahakama kuu kanda…
Siku 100 za Dk Samia, mapinduzi ya kimkakati sekta ya madini yaiweka Tanzania katika daraja la kimataifa
Ndani ya kipindi kifupi cha siku 100 za uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sekta ya Madini imeendelea kujiimarisha kama moja ya vielelezo bora vya mageuzi ya kiuchumi yanayoongozwa na maono, Sera thabiti…
Wizara ya Afya yaanzisha mjadala wa wazi wa elimu ya afya kupitia Tiktok Live
Na.Elimu ya Afya kwa Umma Katika kuhakikisha Elimu ya Afya inayafikia kwa urahisi makundi mbalimbali ya Kijamii hususan kundi la vijana wa kisasa ari maarufu Genz, Wizara ya Afya Afya kupitia Idara ya Kinga, Sehemu ya Elimu ya Afya kwa…
Mradi wa kupelekea umeme kwenye vitongoji kuchochea uchumi, viwanda na biashara
*Bilioni 60.9 kupeleka umeme kwenye vitongoji 581 Shinyanga Shinyanga Imeelezwa kuwa Mradi wa kupeleka umeme kwenye vitongoji 9,009 Awamu ya Pili B (HEP 2B), utakaonufaisha Wateja wa awali 290,300 katika mikoa 25 ya Tanzania Bara nchini unakwenda kuchochea shughuli za…





