JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kongamano la kwanza la Nishati Safi ya kupikia Afrika Mashariki lafanyika

📌 Tanzania yapongezwa kuwa kinara utekelezaji Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia 📌 Kamishna Luoga aeleza hatua zinazochukuliwa na Serikali kuwezesha wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia 📌 UNDP yampa kongole Rais Samia kwa Dira ya Nishati Safi ya Kupikia…

Mahakama yaamuru Lissu afikishwe mahakamani Mei 19, mwaka huu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu afikishwe mahakamani hapo Mei 19, 2025 na Mkuu wa Gereza la Ukonga. Lissu anayekabiliwa na mashtaka matatu…

Waziri Mavunde atangaza kiama kwa kampuni 95 za uchimbaji madini

▪️Yatoa hati za makosa kwa kukiuka masharti ya Leseni ▪️Kampuni 7 tu kati ya 95 ambazo hazijaanza uchimbaji zimelaza mtaji wa Trilion 15 ▪️Zapewa siku 30 kujibu hoja Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetoa Hati za Makosa…

REA yapongezwa na Jeshi la Magereza kwa uhamasishaji nishati safi

📌Rais Samia apewa kongole uhamasishaji nishati safi 📌REA, STAMICO kushirikiana uzalishaji wa Rafiki briquettes 📌Kiwanda cha Rafiki briquettes mbioni kujengwa Geita Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umepongezwa na Jeshi la Magereza kwa kuhamasisha, kuwezesha matumizi…

Baba na mwana wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kusafirisha bangi kilo 398 Tabora

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Mahakama ya Jakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imewahukumu kifungo cha maisha jela baba na mtoto kwa kukutwa na hatia ya kusafirisha bangi kutoka Nzega Tabora na kuzipileka mkoani Shinyanga kinyume na sheria za…