Category: MCHANGANYIKO
Mkutano wa saba wa kimataifa sekta ya madini kufanyika Novemba 2026
Yaelezwa sababu ni kupisha maandalizi ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Madini imetangaza kusogeza mbele Mkutano wa Saba (7) wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini uliokuwa ufanyike mwezi Novemba 2025 na badala…
Waziri Kombo akutana na wabunge marafiki wa Afrika wa Bunge la Japan
Na Mwandishi Maalum Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wabunge Marafiki wa Umoja wa Afrika katika Bunge la Japan, Mhe….
Rose Migiro arithi mikoba ya Dk Nchimbi
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Dkt. Asha Rose Migiro kuwa Katibu Mkuu wa CCM akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ambaye amekuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM. Uteuzi huo umetangazwa leo tarehe 23 Agosti 2025.




